Kuna wakati mwingine radio yako inajifunga baada ya kubadilisha betri ya gari lako.
Ukipata tatizo hilo usisite kutupigia kwa namba hii 0687746471 tutakufungulia radio yako.
Karibuni.
Ni sisi
CarRadio Unlock Solutions.
Hiki ni kisa ambacho kitakufanya uweze ku unlock abilities(uwezo) ambao upo ndani yako.
Hapa tunaona mfano wa simba mdogo ambaye amekua tangu akiwa mdogo pamoja na kundi la kondoo, hali iliyomfanya adhani yeye ni kondoo na kuishi pamoja na kula majani kama kondoo.
Hali hii iliendelea hadi...
Wakuu natafuta mjuzi wa hii modem nimejaribu mimi binafsi nimekwama nimeona nije hapa wajuzi mnaweza nipa muongozo au kama yupo mtu anazi unlock uniunge nae nitshukuru...
Found Applications port COM7
Found modem : E3372
Model : Huawei AuthVer 4 modem (New)
IMEI...
Wataalamu, ninaomba msaada jinsi ya ku Unlock ZTE Moderm nimejaribu kuseach kwenye google nimekwama kabisa.
No ya Moderm ni EVDO AC ZTE 8710 PID:V3
Picha zipo chini
Natanguliza shukrani za dhati
Habari za majukumu wandugu, naombeni msaada wa program itakayoweza kunisaidia kuondoa simlock katika simu aina ya amazon au kama kuna mtu anaweza kufanya kazi hii aje PM
Natanguliza shukrani.
Wakuu hii simu inaniumiza kichwa nimejitahidi kuitafutia ufumbuzi wa hili tatizo lakini bado sijaweza kufanikiwa
Ina CPU ya Qualicomm nimejaribu kutumia NCK but nothing changed
Kama kuna mtu alishawahi kukumbana na tatizo kama hili kwenye simu hizi za kijapan akafanikiwa kutatua naomba tupeane...
(Please read it to the end...we are facing the same problem).
Education is a key that doesn’t fit to unlock economic opportunities for the youth
Alupheli | 02 December 2020
Many people from the black community get their degrees each year and hope for a job, not even a good paying job. Times...
Habari wakuu, ninaomba msaada wa ku unlock hii vodafone router (vodafone R207-Z) ili niweze kutumia mitandao yote.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Habari wandugu,
Naomba kuuliza kwa waelewa wa mambo jinsi ya kuondoa activation lock (Icloud unlock) kwa apple devices i.e iphone, ipod, ipad, apple watch etc.
Pia isiwe bypass/jailbreak. Yaani baada ya kuondoa iweze kupokea latest ios update na pia waweza reset.
Naomba kuwasilisha
Baada ya miezi ya kujaribu kufungua (bila kufuta taarifa) simu mbili aina ya iPhone [ iPhone 5 na iPhone 7 ] zilizokua zikitumiwa na gaidi aitwaye Syed Farook (21),
Hatimaye FBI yafanikiwa kuingia kwenye iPhone iliyokuwa ikitumiwa na Syed Farook aliyehusika na tukio la kuwamiminia risasi na...
Pata kujua jinsi watu wanavyounlock modem unakaribishwa kwa maswali na utasaidiwa.
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU JAMBO HILI
---
---
===
UFAFANUZI WA JUMLA WA NAMNA YA KUFANYA JAMBO HILI
A. Jinsi ya kuunlock modem ya E303s-1
Kwa njia hii utaweza kuunlock modem zote za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.