mariupol

Mariupol (UK: , US: ; Ukrainian: Маріу́поль, romanized: Mariupol' [mɐr⁽ʲ⁾iˈupolʲ] (listen); also Маріюпіль Mariiupil [mɐr⁽ʲ⁾iˈjupilʲ]; Russian: Мариу́поль, romanized: Mariúpol' [mərʲɪˈupəlʲ]; Greek: Μαριούπολη, romanized: Marioúpoli) was a city in south eastern Ukraine, situated on the north coast of the Sea of Azov at the mouth of the Kalmius river, in the Pryazovia region. It was the tenth-largest city in Ukraine, and the second largest in Donetsk Oblast with a population of 431,859 (2021 est.).Mariupol is now a destroyed city. In February and March of 2022 the city was besieged and severely damaged during the 2022 Russian invasion of Ukraine. Ukrainian authorities stated that about 90% of buildings in Mariupole were now damaged or destroyed. Sky News from the UK described videos as showing "civilian areas left unrecognisable by the bombing." Sky News also quoted the Red Cross as describing "Apocalyptic destruction in Mariupol." On 19 March 2022 a Ukrainian police officer in Mariupol made a video in which he said "Children, elderly people are dying. The city is destroyed and it is wiped off the face of the earth." The video was authenticated by the Associated Press.Allegations of human rights violations carried out by Russian forces in Mariupol as well as allegations of war crimes have been made. The city was given the title Hero City of Ukraine on 13 March 2022.Mariupol was founded on the site of a former Cossack encampment known as Kalmius, and granted city rights in 1778. Mariupol played a key role in the industrialization of Ukraine, and has been a centre for the grain trade, metallurgy, and heavy engineering, including the Illich Steel & Iron Works and Azovstal. Today, Mariupol remains a centre for industry, as well as for higher education and business.
From 1948 to 1989, the city was named Zhdanov, after the Soviet functionary Andrei Zhdanov, as part of the practice of renaming cities after Communist leaders.Following the War in Donbas when the city of Donetsk became the capital of the self-proclaimed Donetsk People's Republic in 2014, Mariupol was made the provisional administrative centre of the Donetsk Oblast. The city was secured on June 13, 2014 by Ukrainian troops, but has been under attack several times since.

View More On Wikipedia.org
  1. Webabu

    Kwanini Gaza ni zaidi kuliko Mariupol na Bakhmut

    Katika mwaka huu 2023 dunia imeshuhudia vita vikali ambavyo historia haijawahi kuvishuhudia. Bomu la Hiroshima lilikuwa na moto mkali lakini ilikuwa ni wa mara moja halafu ikawa basi ni kuokota wahanga na majeruhi. Eneo la Mariupol ambalo Urusi ililiteka kutoka Ukraine ilichukua muda mrefu...
  2. MK254

    Base ya wanajeshi wa Urusi yatiwa kiberiti Mariupol

    Hii imefanywa na wazalendo, ikumbukwe pembeni na jeshi la Ukraine, kuna wananchi wapiganaji waliounda makundi ya kuhujumu na kuharibu miundo mbinu ya wanajeshi wa Urusi...... Petro Andriushchenko, adviser to the mayor of Mariupol, has said that the partisans destroyed the Russian base in the...
  3. whiteskunk

    Rais Putin afanya ziara ya kushtukiza Mariupol Ukraine na Crimea

    ICC kazi kwao kumkamata, yupo Ukraine anavinjari mitaa ya mauripol === Rais wa Urusi Vladimir Putin na Rais pendwa duniani ama mwamba wa dunia jana amefanya ziara ya kushtukiza katika rasi ya Crimea katika kuadhimisha miaka tisa tangu alipoinyakua kutoka Ukraine Putin aliutembelea pia mji wa...
  4. M

    Wamebana mwisho wamesalimu amri wote! Ni askari wa kinazi wa ukraine waliokuwa wamejichimbia kwenye kiwanda chuma pale Azovstal-Mariupol.

    Putin alisema hakuna haja ya kuwaingilia huko kwenye mahandaki yao, bali fungeni njia kiasi ambacho hata inzi hawezi kupenya!! Na kweli bwana leo askari wote wamenyosha mikono na kutoka wenyewe! Yule kamanda wao alibebwa kwenye gari la deraya badala ya bus alipokuwa akipelekwa utekani...
  5. S

    Video: Wanajeshi wa Ukraine zaidi ya 900 waliojificha Azovstal, Mariupol wajisalimisha kwa majeshi ya Russia

    Russia imesema wanajeshi wa Ukraine mia tisa na hamsini na tisa (959) waliokuwa wamejificha kwenye kiwanda cha chuma huko Azovstal, Mariupol wamesalimu amri hadi kufikia jana (juma nne). Kati ya hao 959, wnajeshi 80 walikuwa wamejeruhiwa na kati yao 51 walipelekwa hospitali iliyo chini ya...
  6. MK254

    Nimeshangaa sana kumbe bado Mrusi anapigana Mariupol, nilijua alimaliza mchezo kitambo

    Huyu supapawa kwa kweli hana la maana, hivi ameingiwa na nini Mrusi, mbona miaka yote tulikua tunamwogopa bure tu... KHARKIV, Ukraine — Turkey is working to negotiate an exit for the wounded Ukrainian soldiers sheltering in the bunkers of a steel plant in the port city of Mariupol, but its...
  7. MakinikiA

    Wanasubiriwa raia watoke katika kiwanda cha vyuma Mariupol kisha vitu vizito vya Urusi vinadondoshwa kwa askari 2000 wa Ukraine waliopo

    Vita Ukraine: Raia wa Ukraine waokolewa katika kiwanda cha kutengenezea vyuma Mariupol ikumbukwe ni kama wiki mbili zimepita wakiwa chini ya handaki raia 1000 na askari 2000 na tangu Putin alivyotaka askari wa ukraine wajisalimishe wakagoma ndipo Putin akaagiza hakuna kitu chochote kutoka au...
  8. M

    Hatimaye majeshi ya Urusi yameuteka mji muhimu wa Mariupol

    Hatimaye majeshi ya Urusi yameuteka mji mhimu wa Mariupol. Umuhimu wa tukio hili ni kuwa hii inawakilisha kushindwa wa wanazi mamboleo wenye itikadi kali. Wanazi hawa waliokuwa wanaulinda mji huo ndio walikuwa lengo la Putin la "denazification". Kwa hiyo lengo hilo linakuwa limetimia. Lakini...
  9. Webabu

    Mariupol yaanguka, ushindi wa kwanza mkubwa wa Urusi

    Muda mfupi uliopita Urusi imesema jiji la bandari na viwanda la Mariupol limeingia mikononi mwao kikamilifu baada ya kusafisha mabaki ya askari wa Ukraine waliokataa kujisalimisha waliokuwa wamejichimbia kwenye kiwanda kikubwa cha kufua chuma. Askari hao pamoja na kuishiwa chakula na silaha...
  10. Miss Zomboko

    Wanajeshi wa Urusi waingia ndani zaidi ya mji wa Mariupol

    Wanajeshi wa Urusi wamesonga ndani zaidi katika mji wa Mariupol ulioathirika zaidi na vita vinavyoendelea nchini Ukraine ambapo inaarifiwa kuwa mapigano makali yamepelekea kufungwa kwa kampuni moja kuu ya chuma cha pua huku serikali ya eneo hilo ikitoa wito wa msaada zaidi kutoka mataifa ya...
Back
Top Bottom