Habari ndugu zangu kwa wale wanaofanya kazi kwenye vituo vya afya .je vifaa kama xray, ct scan ,ultrasound machine zinapoharibika huwa zinapelekwa wapi kufanyiwa matengenezo?
Habari wadau wa JF,
Natumai mu wazima. Mimi ndoto yangu ni kuja kusomea uengineer wa ndege ila sina idea sana kuhusu hiyo kozi kwa hapa Tanzania.
Nimejaribu kutafuta ma experts wa io kozi sijapata na pia mitandaoni wanaongelea juu juu. Jivyo nilikua naomba kama kuna mtu anaejua zaidi kuhusu...
Habari wapendwa I hope ni wazima wa afya, naitwa Kelvin Dickson natokea Dar es Saalam natafuta kazi ya PC maintanance and Networking ambapo nimefanikiwa kupata certificate veta kipawa naweza fanya kazi zifuatazo kama:
Windows installation
Computer Repair and Maintainance
Network Installation...
Wiki iliyopita kupitia kiongozi mmoja wa kiserikali ailiupatia ujumbeUmma kwamba kuna ukarabati wa mitambo mbali mbali katika shirika la TANESCO ukarabati huu upoje?
Jamani wakubwa humu ndani, mimi mwenzenu napenda kuwa mtaalam wa "Computer maintenance "
Sema sijapitia chuo labda kusoma elimu hii ya computer, lakini naijuia kuitumia kwa kiasi fulani (sio mjuzi sana)
Sasa nawauliza nyie kama wataalamu wa haya mambo nifanyeje ili. Niweze ku-master ujuzi...
Tunatengeneza Computer aina zote Motherboard Repair (Chip Level ). Wasiliana nasi sasa popote ulipo tutakufikia tutakuhudumia.Ushauri kwetu ni Bure... Pia tunahuduma ya On-call Support kwa msaada wa haraka na uhakika +255 746 494 637 Call+Whatsapp.
Common Computers problems we can fix...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.