kivule

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. I

    Mradi wa ujenzi wa Shule ya Msingi Mshikamano iliyopo Kivule, Dar

    Shule inapatikana Wilaya ya Ilala inajumuisha jumla ya madarasa 16, jengo moja la utawala, matundu 24 ya vyoo. Shule imejengwa kupitia mradi wa BOOST na umegharimu jumla ya Tsh. Milioni 475. Zaidi ya wanafunzi 1395 wanatarajiwa kupata elimu kwenye Shule hiyo. Faida za shule Kupunguza...
  2. W

    Plot4Sale Tunauza viwanja maeneno mbalimbali Dar es Salaam

    Kiwanja kwa bei ya OFA ya kufungia mwaka. kiwanja kipo Mbezi Msakuzi kwa Lipelanya Shule ya Makamba. Ukubwa ni 45 kwa 35 metres. Bei ni million 30 tu. Umbali kutoka barabarani ni km 2 Mawasiliano 0715128827
  3. Twilumba

    Inapangishwa: Nyumba (Self-contained) ipo Kitunda Kivule Matembele ya 2

    Nyumba ipo kwenye eneo kubwa la uwanja wa 35x76 Ina kisima na tank la ujazo wa Lt 7,000 ina Vyumba Vitatu vya Kulala Kimoja ni Master Pia ina; Sitting room (Kubwa) Dining Room Jiko kubwa Stoo kubwa Ina eneo kubwa la wazi Nyumba ipo umbali wa Km 5-7 hadi Airport-JNIA Mpangaji ataweza kufanya...
  4. shikamkono01

    Nilivyomkomesha tapeli wa viwanja Kivule Dar es Salaam

    NILIVYOMKOMESHA TAPELI WA VIWANJA KIVULE Habari zenu wadau wa JF! Leo nami nimeonelea niwasimulie kisa changu jinsi nilivyomkomesha tapeli maarufu wa viwanja maeneo ya Kivule ajulikanaye kama Juma Kasangu,mnamo mwaka 2014 mwanzoni nikiwa katika harakati zangu za kutaka kujipatia eneo...
  5. Nyam

    Nauza nyumba Kivule kwa wamakonde kwa Tshs. 22,000,000

    Habari wana JF Nauza nyumba yangu kwa 22mil kwenye eneo lenye ukubwa wa sq 500 imepauliwa na bati la msauzi mgongo mpana ila sijaendelea na chochote baada ya hapo... Ila ni nyumba ya vyumba 3 vya kulala kimoja masta, sebule, dining, public toilet,bafu na jiko. Umeme na maji vyote vipo jirani...
  6. N

    House4Sale Nauza nyumba yangu Kivule Kwa Wamakonde 22 mil

    Habari wana JF, Nauza nyumba yangu iko Kivule kwa wamakonde kwenye kiwanja cha s.meter 500, haijaisha ila tayari ishapauliwa na mabati ya msauzi. Kwa walio serious karibuni..22mil Mawasiliano 0767940945 Asanteni..
  7. N

    House4Sale Nauza nyumba yangu ipo Kivule kwa wamakonde 25mil

    Habari, Nauza nyumba yangu ipo maeneo ya Kivule kwa wamakonde 25mil, haijaisha...Imeezekwa na mabati ya msauzi..Kiwanja ni cha kuandikishana serikali za mitaa hakina hati, kina ukubwa wa sq 500, ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja ndo master, ina sebule,dining pamoja na jiko. Aliyepo serious...
  8. adriz

    Barabara ya kivule Kuelekea banana ni hatari kwa usalama wa afya za abiria

    Moja kwa moja. Siku za hivi karibuni nilipanda usafiri wa daladala kutoka banana hadi kivule kwenye harakati zangu ,Kwa kweli Ktk Maisha yangu sijawahi shuhudia barabara mbovu kama ile na kila siku hali ile ile miaka nenda miaka rudi Kutokana na ubovu wa barabara uliopitiliza nilipata...
  9. Replica

    Azzan Zungu: Wanaoponda kwenye Mitandao hawakai Ilala. Wanakaa Kivule, Majimatitu na Bombambili

    Mzee wangu Azzan Zungu anazeeka vibaya, kwani hawezi kuwasilisha hoja yake bila kuwabagua watu? Kwa takwimu gani alizonazo kuweza kuwatofautisha watu waliopo mtandaoni! Nimkumbushe kina Sarungi, Karume, 2014 na wengineo wengi sio wakazi wa huko alipopataja. Azzan Zungu: Najua hawa wote...
  10. P

    Waziri Lukuvi rejea maagizo yako ulioyaaacha Kivule

    Kwa heshima kubwa napenda pole kwa kazi, sina mengi kwako ila nakukumbusha kidogo, ulivyo kuja Kivule Hapa DSM, Ili kujua zoezi la urasimishaji ardhi linaendeleaje, ulikuta baadhi ya wananchi wametozwa hela zaidi(mara mbili zaidi) kinyume na maagizo ya serikali. Ulitoa tamko kali, kuwa wale...
Back
Top Bottom