Duuuu kwa iyo macho yako yameona chumba kimoja tu Bange mbaya.Ina chumba kimoja tu
Habari wana JF,
Nauza nyumba yangu iko Kivule kwa wamakonde kwenye kiwanja cha s.meter 500, haijaisha ila tayari ishapauliwa na mabati ya msauzi.
Kwa walio serious karibuni..22mil
Mawasiliano 0767940945
Asanteni..
View attachment 2127330
View attachment 2127331
View attachment 2127332
View attachment 2127333
View attachment 2127335
Nyumba bado ipo... Karibuni sanaWapendwa nyumba bado ipo...Ni nyumba ya familia, vyumba vitatu vya kulala kimoja ni masta, dining,sebule na jiko public toilet..Unaweza ukalipa kwa awamu mbili, unaanza na 15mil au zaidi then baada ya mwezi unamalizia..Karibuni sana..0767940945
"Kwa Wamakonde"Kuna nn mbona haitoki?
Hongera sana mkubwa. Kimfaacho mtu chake.Nyumba bado ipo... Karibuni sana