sony

Sony Corporation (ソニー株式会社, Sonī kabushiki gaisha, SOH-nee, commonly known as Sony and stylized as SONY) is a Japanese multinational conglomerate corporation headquartered in Kōnan, Minato, Tokyo. The company operates as one of the world's largest manufacturers of consumer and professional electronic products, the largest video game console company, the second largest video game publisher, the second largest record company, as well as one of the most comprehensive media companies.Sony, with its 50 percent market share in the image sensor market, is among the semiconductor sales leaders and, as of 2015, the fifth-largest television manufacturer in the world by annual sales figures. It is the world's largest player in the premium TV market, a market for a television of at least 55 inches with a price higher than $2,500.Sony Corporation is the holding company of the Sony Group (ソニー・グループ, Sonī Gurūpu), which comprises Sony Electronics, Sony Semiconductor Solutions, Sony Pictures, Sony Music, Sony Interactive Entertainment, Sony Financial Holdings, and others.
The company's slogan is Be Moved. Their former slogans were The One and Only (1979–1982), It's a Sony (1982–2005), like.no.other (2005–2009) and make.believe (2009–2013).Sony has a weak tie to the Sumitomo Mitsui Financial Group (SMFG) corporate group, the successor to the Mitsui group. Sony is listed on the Tokyo Stock Exchange (in which it is a constituent of the Nikkei 225 and TOPIX Core30 indexes) with an additional listing in the form of American depositary receipts listed in the New York Stock Exchange (traded since 1970, making it the oldest Japanese company to be listed in an American exchange), and was ranked 122th on the 2020 Fortune Global 500 list.

View More On Wikipedia.org
  1. Basi Nenda

    Natafuta spare ya Sony MHC-GNZ7D

    Ningependa kufahamu ni wapi hasa nitaweza kupata spare ya Radio Sony MHC-GNZ7D, spare ninayohitaji ni part yote ya mbele ya Radio,kuanzia chini ya cd door mpaka milango ya tape cassette hapo chini, kwa kifupi ni kwamba Radio imepasuka sehemu yote ya milango ya tape sasa nataka kuirudisha...
  2. NetMaster

    Nitoe tahadhari kwa mnaotaka kununua simu za Sony Xperia Z1, Ni bei rahisi kamera kali ila utajuta kwenye Network.

    Ni kwa toleo lile lilioandika nyuma Docomo kutoka Japan - SO-O1K. niliwahi kununua simu hii yani kamera ni kali, ram si 4gb, battery inachaji fasta na inakaa, simu ngumu, n.k ila kwenye network sasa!! ukiwa mjini centre utaiona simu iko poa kabisa inashika 4g+ ni ngumu kujua kuna tatizo...
  3. BARD AI

    Familia yaridhia Sony Music Africa waachie album mpya ya AKA

    Timu ya Rapa #AKA kwa kushirikiana na Kampuni za Kusimamia Kazi za Sanaa Sony Music Entertainment na The T Effect zimepata baraka za familia ya #JarrydForbes kuachia albam kama alivyopanga mwenyewe. Mkurugenzi Mtendaji wa #SonyMusicAfrica, Sean Watson amesema “Mioyo yetu imevunjika, tumepoteza...
  4. CORAL

    Sony na teknolojia ya S-Force Front Surround, Sound Pressure Horn

    Utazamaji wa filamu wa sasa sio kama ule wa zamani ambapo unasimuliwa matukio kwa kutumia picha zinazosonga (movie) na sauti kwenye mifumo ya stereo ukiwa umeketi sebuleni au kwenye ukumbi wa sinema bali sasa surround sound technology kujumlisha na video za 3D imewezesha mtu ‘kupelekwa kwenye...
  5. Mr_S

    INAUZWA Sony Playstation 3 (PS3) inauzwa

    Sony PlayStation 3 (PS3) inauzwa. Imetumika kwa mwezi mmoja (1) *Ina HDD yenye 250 GB. *Inakuja na padi mbili (2) *Inakuja na waya wa power, waya wa HDMI na nyaya mbili (2) za kuchajia padi. *Ina games tisa (9) ndani: AC: Black flag, AC: Rogue, Metal Gear Solid, Tomb rider, Injustice, Blur, PES...
  6. Mr_S

    INAUZWA Sony Playstation 3

    Sony Playstation 3 inauzwa. Imetumika kwa muda wa miezi minne tu. ->HAINA TATIZO(KIPENGELE) chochote ->Imechipiwa na ina game zaidi ya 6 ndani. ->Nakupa na padi mbili, waya wa kuchajia padi na waya wa power. ->Bei: 280,000/- Kwa mawasiliano nicheki, simu/WhatsApp: +255 688 841884
  7. mbinda_smartphones

    INAUZWA Sony Xperia xz1 compact || 4gb ram || 32gb storage || price tzs 175k ||

    SONY XPERIA XZ1 COMPACT || 4GB RAM || 32GB STORAGE || PRICE TZS 175K || USED FROM DUBAI || DUKA LIPO KARIAKOO || NIPIGIE 0765 683 574 INSTAGRAM mbinda_smartphones
  8. Zogolo1550

    Phone4Sale Sony Xperia XZ1

    Sony xperia xz1 inauzwa. RAM 4GB na storage 64GB 200000TZS 0758700852
  9. Mad Max

    Wapenzi wa Muziki Mzuri: Home Theatre ya Sony vs Soundbar ya Hisense

    Wakuu Mambo. Nataka kununua kati ya Home Theater ya Sony DAV TZ 140 5.1 au Sound Bar ya Hisense HS 281 2.1 Zote mbili bei zinafanana approximately Tsh 450,000/= kila moja. Sony Home Theatre hiyo hapo, Wat 320. Nimeona haina Bluetooth connectivity sijui itafaa? Na Hapa chini ni Hisense...
  10. mbinda_smartphones

    INAUZWA Sony Xperia XZ1, Free USB + Cover

    SONY XPERIA XZ1 || 4GB RAM || 64GB STORAGE || FREE USB + COVER || PRICE TZS 220K || USED FROM DUBAI || DUKA LIPO KKOO || CONTACT 👉👉 0765 683 574
  11. man pog

    Young Lunya kusainiwa Sony

    Hivi mnaonaje kuhusu huyu mwamba Young Lunya kusainiwa Sony music Africa kunaweza kuwa na faida kwake au ndo amepoteza maana kwa kumbukumbu za haraka haraka ni kwamba wasanii wengi wa Tanzania walio sainiwa na label hiyo wengi wamepotea mfano Baraka da prince, Vanessa Mdee, Ommy Dimopzi...
  12. Mr_Plan

    Mwenye uelewa na simu aina ya Sony Exeria XZS

    Mwenye Uelewa na simu aina ya Sony Xperia Xzs Atupe review yake
  13. I

    Natafuta SCREEN ya camera SONY 720p

    Ndugu zanguni heshima kwenu! Jamani nimedondosha digital camera imekata kile kikaratasi kinachounganisha mawasiliano ya screen na camera yote, imesababisha camera ikiwaka kunakuwa na gizo tu kwenye kioo yaani kioo hakionyeshi kitu giza tu, na fundi ameshindwa kuunganisha, akanishauri ninunue...
  14. Ramon Abbas

    TV4Sale TV chogo nch 30 kwa elfu 50 tu brand sony

    Inapiga kazi kama kawaida. Iwahi mapema nataka pesa ya haraka nipo Kigamboni 0683011003
  15. EJOSMAT

    INAUZWA Vifaa vya electronics vinauzwa

    Printer hp 7500 a wide format------laki 3 Tt560 speed lite neewer------------laki na nusu Sigma lense 170-500----------------laki 4 Studio light na background yake laki 4 Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa 0717 040 837 au 0767 267 664
  16. N

    Msaada: Radio Sony genezi mhc-gtr55 inasoma "please wait" au "reading" tu nikiweka flash drive. Nini tatizo wakuu?

    Habari wakuu, Radio hii Sony genezi mhc-gtr55 tangu ikiwa mpya inasoma flash ikiamua tu. Labda kuna masharti nakosea. Naweza weka flash mara hii ikasoma fasta na kucheza nyimbo. Naweza weka baadae ikawa inasoma "please wait" au "reading" kwa muda mrefu hata siku nzima. Tatizo laweza kuwa nini...
  17. Rwaz

    Ushauri kuhusu sony home theatre dz950

    Asalaam aleikum. Najivunia jf lakin najivunia zaidi watanzania wana moyo wa kutoa ushauri inapobidi. Mambo ya mind your own bussiness si utamaduni wetu. Nimenufaika mno na ushauri ninaopataga jf. Leo naomba ushauri wa kitaalam na kimazoea ukitaka kununua home theatre ya sony dz 950. Je kuna...
  18. Tomaa Mireni

    INAUZWA Vitu vya ndani, Sony Hi-Fi music, Samsung TV bei ya January

    Sony MHC-RG310 bei yake 350,000 Samsung TV nchi 32 bei 350,000 Kitanda cha chuma na godoro lake 400,000 godoro nchi 8 Vyote tuchekiane 0685008131
  19. ECPENDABLE

    Wataalam waliowahi kutumia home theatre system SONY WATT 300 wanipe ubora wake in performance au miyeyesho nakaribisha majibu

    Wakuu, msaada kwa ambae amewahi kutumia Sony home theater Watt 300 vipi ubora wake wa sound na performance machaguo yangu ni kama mnovoona kwenye picha nikamate sony au hilo subwoofer nakaribisha majibu.
Back
Top Bottom