coronavirus

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    DONALD TRUMP: The world has finally waken up to the truth about Coronavirus

    PRESIDENT Donald Trump has been proven right about the origins of Covid-19 coming from a Chinese lab. Writing for DailyMail – Mr Trump, who is running for president in the United States again declared: “Three years ago, I declared that almost certainly [that it] came from the Chinese lab. Now...
  2. M

    #COVID19 Kirusi kipya cha Corona, Deltacron chagunduliwa

    Kirusi kipya cha korona kilichotokana na muunganiko wa virusi vya delta na omicron kimegunduliwa huko nchini Cyprus Kirusi hicho kipya kilichopewa jina la Deltacron mpaka sasa kimegundulika kwa watu 25 tu huko Cyprus na bado haijawa wazi uhatari wa kirusi hiki ukilinganisha na virusi vya delta...
  3. Analogia Malenga

    #COVID19 Aina mpya ya Kirusi cha Corona kiitwacho IHU chagundulika Ufaransa

    Ufaransa imeripoti aina mpya kirusi cha corona ambacho ni B.1.640.2 au IHU ambacho kina mabadiliko 46 Kama Shirika la Afya Duniani (WHO) litathibitisha uwepo wa kirusi hicho kitaweza kuitwa ' Pi' kwani ndio herufi inayofuata baada ya Omicron IHU kimethibitishwa kwa watu 12 nchini ufaransa...
  4. Kasomi

    #COVID19 Dalili zingine za Omicron

    Aina mpya ya virusi vya corona vya Omicron vinaenea kwa kasi duniani kote. Je, ni dalili gani watu wakipata wanapaswa kuchukua hatua? Shirika la Afya Duniani (WHO) linasema watu bado wanapaswa kuangalia dalili za kawaida za Covid: Aina mpya ya kikohozi kinachoendelea homa/joto la juu kupoteza...
  5. Miss Zomboko

    Utaratibu wa kupima Coronavirus kwa wanaosafiri nje ya Nchi

    Kufuatia ongezeko la visa vipya vya maambukizi, nchi zimeweka taratibu mbalimbali kwa wasafiri kuingia na kutoka ili kudhibiti kusambaa kwa maambukizi ya COVID-19 "Taratibu hizi ni pamoja na kuweka sharti la kupima COVID-19 ili kupunguza au kuzuia kuingia kwa ugonjwa huu katika nchi hizo"...
  6. Miss Zomboko

    #COVID19 Kampuni za Silaha Duniani zazidi kutengeneza faida licha ya Coronavirus

    Ripoti mpya ya taasisi ya kimataifa inayohusika na amani SIPRI inasema watengenezaji wakubwa wa silaha duniani kwa kiasi kikubwa waliepuka anguko la kiuchumi lililosababishwa na janga la Covid-19. Ripoti ya SIPRI iliyotolewa leo Jumatatu inasema serikali ulimwenguni zimeendelea kununua silaha...
  7. babu M

    #COVID19 First U.S. case of omicron strain of coronavirus has been confirmed, Fauci says

    The U.S. has its first confirmed case of the omicron variant of the coronavirus causing COVID-19, said Dr. Anthony Fauci, President Joe Biden's top medical adviser, during a briefing on Wednesday for reporters. "The California and San Francisco departments of public health and the CDC have...
  8. J

    #COVID19 Chanjo za COVID-19 zenye virusi hai (viral vector vaccines) hazisababishi mtu kupata CoronaVirus

    Kituo cha Kudhibiti Magonjwa Nchini Marekani (CDC) kimesema chanjo zenye viambata vya virusi hai (viral vector vaccines) havisababishi mtu kupata #coronavirus Chanjo hizi hutumia virusi visivyo na madhara ili kuchochea mfumo wa kinga ili kupambana na kile inachodhani ni maambukizi Karaha...
  9. Miss Zomboko

    #COVID19 Wanaokwenda Hospitali kupata matibabu ya kawaida wako hatarini kupata maambukizi ya CoronaVirus

    Data mpya zilizotolewa Nchini Marekani zinasema Watu wanaokwenda hospitali kupata huduma za kawaida (sio za CoronaVirus) wanakuwa kwenye hatari ya kupata Maambukizi ya Virusi hivyo Data hizo zilizotolewa na Shirika la Kaiser Health News zinasema zaidi ya Visa 10,000 vilivyothibitishwa vya...
  10. J

    #COVID19 Chanjo za COVID-19 hazisababishi kuibuka kwa aina (variants) mpya za Coronavirus

    Kumekuwa na taarifa nyingi za kupotosha kuhusu chanjo za COVID-19. Mojawapo ni uvumi kuwa chanjo za COVID-19 zinasababisaha kuibuka aina (variants) nyingine za coronavirus. Lakini je, ni kweli? Kwa mujibu wa Kituo cha Kudhibiti Magonjwa Nchini Marekani (CDC), Chanjo za COVID-19 hazitengenezi au...
  11. Miss Zomboko

    #COVID19 Mamilioni ya Watu watumbukia katika Umasikini mkubwa kutokana na janga la CoronaVirus

    Kulingana na Benki ya Dunia, kati ya Watu milioni 88 hadi 115 wanasukumwa katika Umasikini kutokana na Janga la CoronaVirus, na wengi wanapatikana Nchi za Asia Kusini na Kusini mwa Jangwa la Sahara Makadirio yanaeleza Mwaka 2021, idadi hii inatarajiwa kuongezeka kati ya milioni 143 na 163...
  12. beth

    #COVID19 Marekani kufungua Mpaka wake wa Ardhi kwa waliopata Chanjo

    Marekani imesema itafungua Mpaka wake wa Ardhi na Mataifa ya Mexico na Canada kuanzia Novemba kwa Wasafiri waliopata Chanjo dhidi ya CoronaVirus. Taifa hilo lilibana masharti ya kusafiri kutoka Mexico na Canada tangu Machi mwaka 2020 ili kudhiti maambukizi. Hata hivyo, wale ambao bado...
  13. jollyman91

    #COVID19 Armenia to Manufacture "Sputnik Light" Coronavirus Vaccine

    A Russian-Armenian joint venture will manufacture a one-dose coronavirus vaccine in Armenia for domestic use. The Russian Direct Investment Fund (RIPF), in cooperation with the Armenian Ministry of Economy and leading Armenian pharmaceutical company Liqvor, will manufacture the Sputnik Light...
  14. Miss Zomboko

    #COVID19 Kenya kuanza kutengeneza chanjo ya Corona virus 2022

    Mwaka 2022 Kenya itaanza kutengeneza chanjo ya COVID-19 ndani ya nchi kwa kushirikiana na kampuni za dawa katika hatua ya kurahisisha usambazaji wa chanjo kwa watu wengi. Waziri wa Afya Mutahi Kagwe alitoa muongozo wa utengenezaji wa chanjo ya ndani, kwamba Kenya imeanza mchakato wa kujenga...
  15. mwehu ndama

    Watendaji wa Maabara ya Taifa ya Tanzania mmeshindwa kazi!

    Wakuu, Baada ya kukaa likizo bongo kwa wiki tatu nilifanya vipimo vya Corona na kulipia ada ya malipo ya Tsh. 230,000 siku ya Jumatano tarehe 4 ili nijiandae na safari yangu iliyokuwa jana siku ya Ijumaa tarehe 6. Cha ajabu mpaka ilipofikia lisaa limoja kabla ya muda wangu wa safari bado...
  16. beth

    #COVID19 Japan yashuhudia ongezeko la maambukizi. Hospitali kupokea walio hoi tu

    Japan inatarajia kubadili Sera ili kuweka kipaumbele katika kulaza Wagonjwa wa COVID19 wanaoumwa sana ili kuepuka kudhoofisha Mfumo wa Afya. Hivi sasa Taifa hilo linarekodi zaidi ya visa 10,000 kila siku. Wagonjwa wengine watatakiwa kubaki nyumbani na Serikali itahakikisha wanalazwa hali zao...
  17. Miss Zomboko

    #COVID19 Chanjo ya Coronavirus kuanza kutolewa kwenye Mikoa 10 ya Tanzania bara

    Mikoa hiyo ya kipaumbele ni Dar es Salaam, Mwanza, Kilimanjaro, Mbeya, Arusha, Kigoma, Singida, Dodoma, Iringa na Mtwara. Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima, aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere baada...
  18. Miss Zomboko

    Iringa: Muda wa kuswali Misikitini wapunguzwa ili Kudhibiti Maambukizi ya Coronavirus

    Muda wa kuswali wapunguzwa Mkoani Iringa, kuanzia jana, muda wa kuswali katika nyumba za ibada umepunguzwa kutoka zaidi ya dakika 30 za awali hadi kati ya dakika 10 na 15 siku ya Ijumaa. Shehe wa Mkoa wa Iringa, Abri Said alisema utekelezaji wa maelekezo hayo ulianza jana katika misikiti yote...
  19. Miss Zomboko

    #COVID19 Serikali yakusudia kuchanja asilimia 60 ya Watanzania Chanjo ya Coronavirus

    Dar es Salaam. Baada ya chanjo ya Covid-19 kuwasili nchini Serikali imejiweka lengo la kuwachanja asilimia 60 ya Watanzania wote. Waziri wa Afya, Dk Doroth Gwajima amesema awamu ya kwanza ya chanzo hiyo itatolewa kwa makundi ya mstari wa mbele ambayo yatawekwa wazi siku ya kesho. Amesema kwa...
  20. Miss Zomboko

    #COVID19 UN: Mamilioni ya watoto wakosa chanjo za kawaida mwaka 2020 kwasababu ya Covid-19

    Umoja wa Mataifa umesema jumla ya watoto milioni 23 hawajapata chanjo za kawaida na hivyo kuwaweka katika hatari ya kupata surua pamoja na magonjwa mengine hatari. Kwa mujibu wa takwimu zilizochapishwa na Shirika la Afya Duniani, WHO pamoja na Shirika la Umoja wa Mataifa la kuwahudumia Watoto...
Back
Top Bottom