basketball

  1. Teknocrat

    Top 100 Basketball Shoes of All Time

    Naanza na hivi hapa, mwenye favorite yake naye aweke tuvione 1. Converse All Stars 2.Nike Air Revolution 3.Pump Omni Zone Retro 4.Nike Air Force Command 5.Nike Sky Force 6.Nike Delta Force 7.Adidas Pro Model 8.Adidas Forum 9.Nike Terminator High 10.Nike Air Jordan VI
  2. Frank I Ritte

    Hivi kweli timu ya Taifa ya mpira wa kikapu ya Walemavu jezi zao zimeandikwa na maker pen?

    Hivi ni kweli timu ya taifa ya mpira wa kikapu(basketball) ya walemavu jezi zao zimeandikwa na maker pen hamuoni mnaaibisha taifa?
  3. kali linux

    BASKETBALL: Ja Morant ndo master mpya wa court kwa sasa

    Hello bosses and roses. Huyu kijana anachezea Memphis ni hatari, aina yake ya mchezo ni ngumu sana kuiona kwa wachezaji wengine sasa na miaka kadhaa iliopita. Na bado ni kijana mbichi, 23 years. Jamaa anafanya anachotaka uwanjani, uwezo wake wa kuruka juu ni mkubwa sana. Last week kwenye...
  4. BARD AI

    Jezi 15 za 'Basketball' zinazouzwa zaidi Ligi ya NBA, LeBron James anaongoza

    Shirikisho la Mpira wa Kikapu la Marekani (NBA) limetoa orodha ya Jezi 15 za msimu wa 2022/23 kutoka Vilabu tofauti zinaoongoza kwa mauzo hadi sasa. Jezi namba 6 ya LeBron James kutoka LA Lakers imeongoza kwa mauzo ikifuatiwa na Jezi namba 30 ya Golden State Warriors inayovaliwa na Stephen...
  5. MUTUYAMUNGU

    Wazee wa Basketball nina swali

    Nauliza ile mechi ya Ukonga Kings na JKT nani alishinda. Nilianga quarters 2 tu ya 1 ikawa 22 kwa 22 na ya pili ikawa 48 kwa 48!
  6. Teko Modise

    Kwanini wadada wengi hawapendi Basketball?

    Ni mchezo mzuri sana ukiujua... ni muda sasa wa kujifunza na kuanza kuucheza.
  7. E

    Wanaojua viwanja vya basketball Dar es Salaam

    Natumai muwazima Mimi ni mgeni hapa dar, mchezo wangu ni mpira wa kikapu yaani sijiskii vizuri bila kucheza tatizo kubwa ni viwanja vilipo imekua mtihani kweli Kama kunamwenye kujua viwanja vilipo tusaidiane wapenzi wa kikapu wenzangu Nipo kigamboni vijibweni
  8. E

    Wanaojua viwanja vya basketball dar es salaam

    Natumai muwazima Mimi ni mgeni hapa dar, mchezo wangu ni mpira wa kikapu yaani sijiskii vizuri bila kucheza tatizo kubwa ni viwanja vilipo imekua mtihani kweli Kama kunamwenye kujua viwanja vilipo tusaidiane wapenzi wa kikapu wenzangu Nipo kigamboni vijibweni
  9. L

    Star wa Basketball USA Magic Johnson akiwa na mwanae wa kiume

    Huyu mwamba yuko na mwanae wa kiume. Kuna kitu hakiko sawa.
  10. BigBro

    Tokyo Olympics: Marekani yabeba tena medali ya dhahabu mpira wa kikapu

    Ikiwa imeaanza kwa kusuasua kwenye michezo wa Olympic, Marekani imetwaa kwa mara ya nne mfululizo medali ya dhahabu kwenye michezo ya Olympic kwa kuifunga Ufaransa 87 kwa 82. ====== Team USA secured a fourth straight Olympic gold medal as they beat France 87-82 in Tokyo. It was the second time...
  11. K

    Rapper J. Cole to play for Rwandan club in Basketball Africa League

    Rapper J. Cole is expected to play for the Rwanda Patriots BBC in the inaugural season of the Basketball Africa League, sources told The Undefeated. J. Cole, 36, arrived in Rwanda two days ago and is in the midst of quarantining in order to play in the 12-team league. Born Jermaine Lamarr...
  12. MK254

    Kenyan Girl Ranked 2nd Best Basketball Player in the US

    Adhiambo Koranga (yellow jersey) in action. TWITTER Kenya basketballer Felmas Adhiambo Koranga was ranked the second-best Junior College basketball player in the US, World Exposure Women's Basketball revealed on April 8. The star player was then snatched up by the famous Troy women’s...
  13. Binti1

    Kobe Bryant dies in a plane crash

    Mcheza Kikapu mstaafu nchini Marekani, Kobe Bryant 'Mamba' amefariki katika ajali ya Helikopta iliyotokea leo huko California. Kobe mwenye miaka 41 akiwa na binti yake Gianna walikuwa miongoni mwa watu watano walikuwa wanasafri katika helikopta hiyo inayomilikiwa na Kobe ambayo imeanguka baada...
Back
Top Bottom