Naanza na hivi hapa, mwenye favorite yake naye aweke tuvione
1. Converse All Stars
2.Nike Air Revolution
3.Pump Omni Zone Retro
4.Nike Air Force Command
5.Nike Sky Force
6.Nike Delta Force
7.Adidas Pro Model
8.Adidas Forum
9.Nike Terminator High
10.Nike Air Jordan VI
Hello bosses and roses.
Huyu kijana anachezea Memphis ni hatari, aina yake ya mchezo ni ngumu sana kuiona kwa wachezaji wengine sasa na miaka kadhaa iliopita. Na bado ni kijana mbichi, 23 years.
Jamaa anafanya anachotaka uwanjani, uwezo wake wa kuruka juu ni mkubwa sana.
Last week kwenye...
Shirikisho la Mpira wa Kikapu la Marekani (NBA) limetoa orodha ya Jezi 15 za msimu wa 2022/23 kutoka Vilabu tofauti zinaoongoza kwa mauzo hadi sasa.
Jezi namba 6 ya LeBron James kutoka LA Lakers imeongoza kwa mauzo ikifuatiwa na Jezi namba 30 ya Golden State Warriors inayovaliwa na Stephen...
Natumai muwazima
Mimi ni mgeni hapa dar, mchezo wangu ni mpira wa kikapu yaani sijiskii vizuri bila kucheza tatizo kubwa ni viwanja vilipo imekua mtihani kweli
Kama kunamwenye kujua viwanja vilipo tusaidiane wapenzi wa kikapu wenzangu
Nipo kigamboni vijibweni
Natumai muwazima
Mimi ni mgeni hapa dar, mchezo wangu ni mpira wa kikapu yaani sijiskii vizuri bila kucheza tatizo kubwa ni viwanja vilipo imekua mtihani kweli
Kama kunamwenye kujua viwanja vilipo tusaidiane wapenzi wa kikapu wenzangu
Nipo kigamboni vijibweni
Ikiwa imeaanza kwa kusuasua kwenye michezo wa Olympic, Marekani imetwaa kwa mara ya nne mfululizo medali ya dhahabu kwenye michezo ya Olympic kwa kuifunga Ufaransa 87 kwa 82.
======
Team USA secured a fourth straight Olympic gold medal as they beat France 87-82 in Tokyo.
It was the second time...
Rapper J. Cole is expected to play for the Rwanda Patriots BBC in the inaugural season of the Basketball Africa League, sources told The Undefeated.
J. Cole, 36, arrived in Rwanda two days ago and is in the midst of quarantining in order to play in the 12-team league.
Born Jermaine Lamarr...
Adhiambo Koranga (yellow jersey) in action.
TWITTER
Kenya basketballer Felmas Adhiambo Koranga was ranked the second-best Junior College basketball player in the US, World Exposure Women's Basketball revealed on April 8.
The star player was then snatched up by the famous Troy women’s...
Mcheza Kikapu mstaafu nchini Marekani, Kobe Bryant 'Mamba' amefariki katika ajali ya Helikopta iliyotokea leo huko California.
Kobe mwenye miaka 41 akiwa na binti yake Gianna walikuwa miongoni mwa watu watano walikuwa wanasafri katika helikopta hiyo inayomilikiwa na Kobe ambayo imeanguka baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.