Wakuu kwema?
Siku ya Jumamosi nilisafiri na gari yangu Toyota Premio F(1490cc) kutoka Arusha kuja Dar es Salaam. Ilikuwa ndo mara ya kwanza kusafiri safari ndefu kwa kutumia hii gari kwa hiyo nilitaka kujua pia consumption yake ya mafuta highway iko vipi.
Siku ya Ijumaa niliweka full tank na...
Mkuu hii nilitumia 17M bila bima na vitu vingine baada ya kuipokea. Ukichangana na hivyo vitu vingine ilienda hadi 18M japo inategemea maana mimi bima nilikata comprehensive.
Gharama za gari kutoka Japani hadi kufika bandari ya Dar(CIF) ilikuwa $4,000 kwa kipindi kile dola ilikuwa haijapanda...
Wakuu,
Nina Toyota Premio f niliagiza kutoka Japan mwaka jana mwishoni. Gari imekuja na rim size 14 na nikipita barabara ya vumbi kuna wakati inagonga sana chini, kwenye mlango wa dereva kwa pembeni kuna hizi options zimeandikwa kama inavyoonekana kwenye picha niliyoambatanisha hapa(Pamoja na...
Wakuu Habari,
Leo nimeona nielezee kidogo kwa namna gani unaweza kujua uhalali wa kilometer zinazosoma kwenye gari unalotaka kununua either mkononi kwa mtu ama yard.
Hii njia haitaweza kuapply kwa magari yote kwa sababu mbali mbali ikiwemo kwamba kipindi fulani hapa nyuma magari yalikuwa...
Mwambie unasubiri mtoto akue kidogo then mkapime DNA uone atakavyosepa kama anajua huyo mtoto sio wako.
Nilishawahi kuona mdada mmoja alipata mimba akamlazimisha jamaa kuwa ni hadi akahamia nyumbani kwao huyo jamaa, ukawa ugomvi labisa ndugu zake huyo jamaa wanamwambia amuoe tu sasa jamaa...
Serikali inatakiwa ikae nao ila ada isizidi 750,000 na michango mingine isizidi 200,000 kwa mwaka.
yaani sasa hivi kuna shule ada 4M michago mingine 1.5M
Mkutano ulikuwa wa viongozi wa taasisi za wafanyabiashara halafu unasema wajaze uwanja wa taifa? au wangekuja na wanachama wao?
Halafu hizo data naona kama hazina effect kwenye real life application maana uganda yuko juu ya mataifa makubwa ila kiuchumi na kinguvu ni tembo na sungura.
Ngoja sisi tunaoishi stoo tunyamaze.
Yaani chumba hicho hicho ndo kuna jiko,kitanda,ndoo za maji, meza, kabati, friji, subwoofer, vyombo vya chakula e.t.c
WAISHI STOO WENZANGU HOYEEEEEE....
Ni hivi,
Gari za mwanzo kabisa kwenye huu mfumo zitakuwa zilianza na
T 001 AAA hadi T 999 AAA
then
T 001 AAB hadi T 999 AAB
zikaendelea
T 001 AAC hadi T 999 AAC
hizo herufi zikaendelea mpaka zikafika AAZ
zilivyofika AAZ zikaanza tena kama ifuatavyo
T 001 ABA hadi T 999 ABA
T 001 ABB...
halafu dawa za MSD zitakuwa na alama ya msd
sasa wafanyabiashara binafsi watazinunua wapeleke wapi?
na wakikamatwa nazo si wataambiwa wameiibia serikali?
Sio kanda ya ziwa tu,
Rais akitokea katika jamii ya watu wachapakazi lazima tu atafanya vizuri,
mfano akitokea
Kaskazini, au Nyanda za juu kusini unfortunately hayo maeneo hayajawahi kutoa rais.
we mtu kazaliwa sehemu watu hawapendi kujishughulisha sana au wanapenda umwinyi unadhani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.