Serikali yafuta Posho za vikao vya Kamati za Bunge na Bodi za Taasisi za Umma

Sitting allowance ifutwe. Mshahara ukatwe PAYE na wachangie NSSF. Halafu kile kifuta jasho cha 250M baada ya miaka mitano nacho kifutwe. Tutaheshimiana tu

mbeziboy...., kula 5 kwanza fastaaaa!
Miaka 5 kiinua mgongo 250 m! Mwl aliyeitumikia nchi kwa miaka 30 hapati hata 30% ya kiinua mgongo cha mbunge!!

Muda wa kula kwa jasho sasa hata kama bungeni kiyoyozi saa 24!!
 
Last edited by a moderator:
hivi hizi hatua za kukurupuka zinafuata economic impact assesment? kiuchumi sio vyema kubana matumizi, serikali inatakiwa kupanua wigo wa mapato. hiki kinachofanyika kina madhara kiuchumi. watu tunashangilia tu, but with time we will come to realize that it was nonsense. mnaozishangilia hatua hizi mtakuwa wa kwanza kulalama. ngoja tuone.

Kwa hiyo unataka watu wenye nacho waendelee kuwaibia wasiokuwa nacho kwa sababu ya uchizi ambao hata huufahamu vizuri. Watu wapate fedha halali na waweze kuwa wabunifu, unafikiri kina Bill Gates waliweza kuwa wabunifu kwa kupewa pesa za bure? Rudi shuleni hukukariri sawa sawa hiyo nadharia yako. Badala ya kuwapa hizo pesa wabunge kwa kufanya porojo zitengeneza miundo mbinu ya kisasa ajali zimesidi Tanzania.
 
Jamani, hivi jk miaka yote 10 ikulu alikuwa anafanya nini? Wakati Magufuli siku 25 tu ameweza kufanya yote haya?

Kungepitishwa sheria huyu mtu asitajwe tajwe humu ningefurahi sana, maana nashikwa na hasira mpaka kichefu chefu cha kutapika nikisikia jina lake
 
hivi hizi hatua za kukurupuka zinafuata economic impact assesment? kiuchumi sio vyema kubana matumizi, serikali inatakiwa kupanua wigo wa mapato. hiki kinachofanyika kina madhara kiuchumi. watu tunashangilia tu, but with time we will come to realize that it was nonsense. mnaozishangilia hatua hizi mtakuwa wa kwanza kulalama. ngoja tuone.

TArtibu mkuu, kwa miaka yote hasa kumi iliyopita hela ziliachiwa tu hovyo, mwacha abane matumizi kwanza zikijaa zitafunguliwa!

TUMUOMBEE TU MKUU!
 
hivi hizi hatua za kukurupuka zinafuata economic impact assesment? Kiuchumi sio vyema kubana matumizi, serikali inatakiwa kupanua wigo wa mapato. Hiki kinachofanyika kina madhara kiuchumi. Watu tunashangilia tu, but with time we will come to realize that it was nonsense. Mnaozishangilia hatua hizi mtakuwa wa kwanza kulalama. Ngoja tuone.

napiga ngumi kuwa muelewa.nihivi..siku za nyuma wabunge huwa wanachukua posho mbili ambazo ni zile za bungani lakini wakifika kwenye mashirika kama tanesco wanachukua tena posho.hivyo wnakuwa wamejipa posho mara mbili.huu ni ufisadi wa kitaasis ndo maana walikuwa wanashindwa kusimamia utendaji wa mashirika.
 
NAMBA TUTAOSOMA WOOTE HAKUNA ATAKAE SALIMIKA..

Lumumba fc, huu utakua nimsiba mkubwa sana pande hozo..Vya Bure vinAyeyuka kila kukicha
 
hivi hizi hatua za kukurupuka zinafuata economic impact assesment? kiuchumi sio vyema kubana matumizi, serikali inatakiwa kupanua wigo wa mapato. hiki kinachofanyika kina madhara kiuchumi. watu tunashangilia tu, but with time we will come to realize that it was nonsense. mnaozishangilia hatua hizi mtakuwa wa kwanza kulalama. ngoja tuone.

We bana weeee, unaongea theory gani hizi na wewe??!!! yaani anachokifanya Magufuli kwako anakosea, watu waendelee kulipwa posho za kifisadi huku wagonjwa wanalala chini, hakuna madawa, madawati, umeme, maji etc what the hell you talking man???!!
 
hivi hizi hatua za kukurupuka zinafuata economic impact assesment? kiuchumi sio vyema kubana matumizi, serikali inatakiwa kupanua wigo wa mapato. hiki kinachofanyika kina madhara kiuchumi. watu tunashangilia tu, but with time we will come to realize that it was nonsense. mnaozishangilia hatua hizi mtakuwa wa kwanza kulalama. ngoja tuone.

Shikamoo mheshiwa mbunge
 
hivi hizi hatua za kukurupuka zinafuata economic impact assesment? kiuchumi sio vyema kubana matumizi, serikali inatakiwa kupanua wigo wa mapato. hiki kinachofanyika kina madhara kiuchumi. watu tunashangilia tu, but with time we will come to realize that it was nonsense. mnaozishangilia hatua hizi mtakuwa wa kwanza kulalama. ngoja tuone.

Impact ilikuwa inasikika na segment ndogo sana ya economy. Also, government expenditure was highly inflated. Usishangae kama kuna kalamu za bic serikalini zinanunuliwa kwa 10,000 kila mmoja. So cha kufanya ni kubana mfuko kwanza. Structure zirekebishwe then spending can resume in a more sober way.
 
hivi hizi hatua za kukurupuka zinafuata economic impact assesment? kiuchumi sio vyema kubana matumizi, serikali inatakiwa kupanua wigo wa mapato. hiki kinachofanyika kina madhara kiuchumi. watu tunashangilia tu, but with time we will come to realize that it was nonsense. mnaozishangilia hatua hizi mtakuwa wa kwanza kulalama. ngoja tuone.

Mh mbunge shikamoo
 
mbeziboy...., kula 5 kwanza fastaaaa!
Miaka 5 kiinua mgongo 250 m! Mwl aliyeitumikia nchi kwa miaka 30 hapati hata 30% ya kiinua mgongo cha mbunge!!

Muda wa kula kwa jasho sasa hata kama bungeni kiyoyozi saa 24!!

Umeonaee! Yani ni upuuzi mtupu kumlipa mtu kiinua mgongo cha 250M kwa kazi ya miaka mitano. Wachangie kila mwezi NSSF halafu kama wanataka baada ya miaka mitano wakachukue hizo hela. Tuone wangapi watakimbilia bungeni.

Halafu pia huu mpango wa kumnunulia kila mbunge land cruiser mkonga nao inabidi uangaliwe. Pengine tunaweza kuelewa wabunge wa vijijini ambapo barabara ni mbovu. Lakini mbunge wa mjini ananuliwa cruiser mkonga ya nini? Kwa mfano Mh Zungu wa ilala..jimbo lake ni city center..upanga..kkoo..na ilala kwenyewe. Yeye cruiser mkonga anunuliwe ya nini? akinunuliwa corolla si anazungukia jimbo lake vizuri tu? Kuna mambo mengi sana ya kuhoji kwenye marupurupu ya wabunge.
 
Last edited by a moderator:
hivi hizi hatua za kukurupuka zinafuata economic impact assesment? kiuchumi sio vyema kubana matumizi, serikali inatakiwa kupanua wigo wa mapato. hiki kinachofanyika kina madhara kiuchumi. watu tunashangilia tu, but with time we will come to realize that it was nonsense. mnaozishangilia hatua hizi mtakuwa wa kwanza kulalama. ngoja tuone.

Tatizo ni kwamba hauna akili, unawasikiliza Wazungu lkn hauwaelewi, hapa kinachoongelewa ni kuondolewa kwa Posho na SIYO kupunguzwa kwa mshahara wa Mtu anaolipwa kwa Mwezi, sasa uliona wapi nchi ambayo inawekeza kwenye kulipa posho wafanyakazi wake ili kuongeza spending?

Kama Serikali ingepunguza mshahara wa mtu hapo ungekuwa na HOJA lkn hii posho ambayo inachukuliwa ktk sehemu nyingine maana ni kwamba hii fedha ingeweza kuwekezwa sehemu nyingine kwenye mahitaji zaidi kwa maana huyu anayelipwa tayari ana mshahara wake, ndiyo maana hata wazungu wenyewe huwa hawatoi posho kama utahudhiria mkutano basi utaleta risiti na kurudishiwa gharama za usafiri, Hoteli na matumizi mengine ambayo lazima uonyeshe uthibitisho, lkn kamwe hawawezi kukupa tu fedha kwa kuhudhiria mkutano kama tunavyofanya hapa Bongo!

Hivyo Serikali ya Magufuli iko sahihi kabisa na kinachofwata sasa ni kuongeza Uzalishaji ili vipato halali na siyo POSHO viongezeke ili kuwawezesha watu kuwa na fedha ya kutumia ili kunufaisha uchumi kwa ujumla!
 
Back
Top Bottom