jamani mimi ni mwanafunzi wa udom nataraji kumaliza mitihani yangu wiki hii naomba kwa yoyote atakayeweza kunisaidia kupata kazi ya kujitolea mwezi wa 7 katikati hadi wa kumi anisaidie.ili niweze kupata uzoefu hasa kwenye maswala ya utawala,itifaki,na na organizations naweza kuzungumza...
alikuwa anajifanya na yeye mbishi huku akitafuta sifa za kitoto kila siku kwa kumponda mheshimiwa rais na watu wake umeona kilichomtokea? mpaka muda huu chama kimebidi kianzishe kampeni uchwara mradi tu apate pa kula maana hali yake ki fedha sio nzuri
sasa na wewe angalia maana kesi yako ipo...
Mwenzenu nimekuwa nasumbuliwa na maralia mara kwa mara japo huwa nalala na net na pia chumba huwa napulizia net yani kwangu haiwezi kupita hata wiki 6 bila kuuguwa
yatakayofanya nimkumbuke kanumba the great ni
1. Alipoenda kumtembelea mzee kipara wakati mgonjwa na kumpa msaada wa laki 1 huku akiwa ameambatana na lundo la waandishi wa habari kama hali ameenda kutoa milioni kumi
2.kiingereza chake ndani ya big brother africa
3.alivyojichubua akifikilia...
TUCHEZE GAME LINAITWA The last
man standing. Yani unatuma
comment kisha anaefuata
anaanza na neno ulilomalizia. Kwa
mfano: mtu akiandika, natamani
kwenda mikumi anayefuata
aanze na mikumi mf. mikumi ni
tour inayofuata alaf inayofuata
kuenjoy maisha inayofuata maisha hayana mwenyewe n.k...
leo wanafunzi wa chuo kikuuu cha dodoma wanaounda organization inayojulikana kama udom chamber leo wametoa msaada wa vifaa vya usafi na mazingira katika shule ya sekondari viwahttp://issamichuzi.blogspot.com/2012/03/wanafunzi-wa-udom-wafanya-ziara-katika.htmlndani iliyopo mjini dodoma pia...
wanazaa watoto wengi na hovyo hovyo ambao wanashindwa mpaka kuwahudumia matokeo yake wanakaa kulaumu hovyo oh maisha magumu nashindwa somesha familia kama wangekuwa wachache wasingelaumu
nimegundua kwamba humu jf maskini ndio wanaongoza kumchukia lowassa
wanalaumu kwamba yeye ndio aliyefanya maisha yao yawe magumu kitu ambacho sio kweli
watu ambao wanafaa
kuwachukia ni wazazi wao waliowa rithisha umasikini wazazi wao walikuwa wazembe wakati wazazi wa wenzao walipokuwa...
mimi na wanachuo wenzangu tumepanga mwisho wa mwezi huu tukatembelee mikumi national park kama sehemu ya kukuza utalii wa ndani naomba kwa mtu mwenye contact za huko anisaidie ili niweze kujua hasa gharama za hostel.
Kwani nimejaribu kusearch kama wana website kumbe hawana,wanatumia ya TANAPA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.