Kiboko Yenu
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 311
- 65
alikuwa anajifanya na yeye mbishi huku akitafuta sifa za kitoto kila siku kwa kumponda mheshimiwa rais na watu wake umeona kilichomtokea? mpaka muda huu chama kimebidi kianzishe kampeni uchwara mradi tu apate pa kula maana hali yake ki fedha sio nzuri
sasa na wewe angalia maana kesi yako ipo mahakama ya rufaa now
sasa na wewe angalia maana kesi yako ipo mahakama ya rufaa now