Yaan bara la Afrika kila jambo wanalolitaka hutumia njia ya maandamano hivi hamna kabisa njia nyingine ya kupata haki zao muda.hivi juzijuzi Misri maandamano tu! WHY THIS?
Hivi jaman jana yamenikuta ya kunikuta nikanyimwa hadi 2nda la kati eti kisa wakati nimenogewa na mashamsham ya maandaliz ya kuingia mchezon si nikatia kidole kwenye 2nda lenyewe WEE!! demu alianza kulia huku akinisukuma ntoke mbele yake,alichukua khanga akajifunga kisha akakaa pembeni huku...
Mi ni kijana ninayependa kufanya mazoezi na pia mi ni mchezaji wa timu ya mpira wa miguu na nina mpenz ambaye amekuwa kikwazo kwangu kwani anapenda mda wote niwe naye hata muda wa kwenda zoezi na nikijaribu kwenda ananiambia," kama hayo mazoezi yana umuhimu zaid yangu we nenda na ukirud...
Masela wawili wakiwa chini ya mwembe walivuta bangi mpaka ikawaingia kabisa baada ya muda si wakasikia njaa wakashauriana watungue maembe juu ya mti,maongezi yao yalikuwa hivi;
Msela 1;msela kabla hatujatungua tutajuaje kama yameiva
Msela 2;ngoja nipande nikacheq kama yameiva.
Msela akapanda...
Panya wa3 walikuwa na kikao kifup na maongezi yao yalikuwa ya kutambiana kama ifuatavyo;
Panya 1: mi nimekula chakula chenye sumu wala cjafa me balaa
Panya 2: we kidogo ivyo mi nimeingia kwenye mtego nikajitoa alafu nikaondoka zangu
Panya 3; mh! Wapi mi nilipo hapa nina mimba ya paka
duh!
Nina mpenzi wangu ambaye anapenda kununa sana hata kwa jambo dogo tu ananuna siku nzima,yaani haongei,hachek hata ufanyaje! Naomba mnishauri nimfanyaje kwani kuna muda nafikiria kumwacha!
Mwalimu ni mtu ambaye ni wa muhimu sana kwa maisha ya mwanafunzi yeyote yule na kupitia mwalimu tunapata madaktari,wanasheria,wabunge na wahasibu,ila kwa baadhi ya wanafunzi wanawadharau sana watu hawa kwa kuwatukana,kuwapiga na hata kuwabaka.Je,unafikiria ni adhabu itolewe ili kukomesha haya...
Wananchi wa kijiji cha Uswahilin wameonyesha ni jinsi gani wanavyomkubali kiongozi wao wa kijiji chao kwa kumjali alipokuwa amelazwa hospitali moja mjini Arusha ijulikanayo kwa jina la Kwa Babu (St.Elizabeth).Wananchi walipokutwa kwenye msururu huo wa kuelekea hospitali wengi wao walikuwa...
Tanesco ndo wameanza tena mgao wao au vp? Maana umeme haushikiki kwanza uko juu alaf wanakata,yaani ni aibu kwa nchi kusikika ikilia eti shida ya umeme! AIBU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.