Prince edu
Member
- Dec 16, 2011
- 78
- 0
Mi ni kijana ninayependa kufanya mazoezi na pia mi ni mchezaji wa timu ya mpira wa miguu na nina mpenz ambaye amekuwa kikwazo kwangu kwani anapenda mda wote niwe naye hata muda wa kwenda zoezi na nikijaribu kwenda ananiambia," kama hayo mazoezi yana umuhimu zaid yangu we nenda na ukirud usinisemeshe ki2!" yaan sijui nifanyaje kwan mazoez ni muhimu sana kwangu na pia nampenda sana mpenz wangu! Hebu nishaur nakusubiri mwanajf!