Tanesco ndo wameanza tena mgao wao au vp? Maana umeme haushikiki kwanza uko juu alaf wanakata,yaani ni aibu kwa nchi kusikika ikilia eti shida ya umeme! AIBU
yani leo ndo umejua kuwa wanakera..wengine tumeshalaumu hadi sauti zimekauka tumebaki tunakodoa macho sababu wabongo wote tuna asili ya woga..wanapandisha kilasiku bei ya umeme tunalia chinichini..
Mbaya zaidi shirika linakosa mapato kwa kushindwa kuunganishia umeme wateja wapya, wateja wameshalipa wanasubiri zaidi ya miezi 4 kisingizio hakuna mita za luku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.