Search results

  1. P

    #COVID19 Chanjo ni hiari: Spika Ndugai ni nani kuipinga kauli ya Rais?

    SIPIKA HASHITAKIWI MKUU ANA KINGA YA KUTOKUSHITAKIWA.
  2. P

    Mabadiliko: Taasisi za Kidini sasa Kusajiliwa kila baada ya Miaka 5 kwa Malipo ya Tsh 100,000

    Vibali vya huduma za kiriho hutoa Mungu.Hii kauli ni chembechembe za siasa kuwafunga kutokuwa na WARAKA WA MAASKOFU. Madhara yakunyamazisha kila kundi la kijamii litakuwa na chuki na madhara makubwa sana
  3. P

    Tusitake kumpelekesha Rais Samia, hapangiwi namna gani aendeshe nchi

    U Uzi una ujumbe mzito sana,hamjamuelewa tu.ameogopa kuitwa sio raia.
  4. P

    #COVID19 Spika Ndugai na Bunge lake waliwakebehi CHADEMA walipojitenga kuchukua tahadhari ya kuzuia COVID-19, leo analazimisha wabunge wachanjwe?

    Awalinde kwa gharama zote wabunge wasiotaka kuchanja kama ambavyo aliahidi kulinda wabunge wa covid 19. Polepole na Askofu Gwajiboy bunge likianza wakakae jirani na kiti cha Jobo.Tuone nani atatangulia kufaaaa
  5. P

    Mahasimu wa CHADEMA, Mbowe na Chanjo tukutane hapa

    Mbona mnamharibia Balozi Sefue
  6. P

    Sijasikia nguli yoyote wa Sheria akijinasibu kumnasua Mbowe. CHADEMA sio kama NCCR ya akina Marando

    Wamchomoe aende wapi wakati ameshachomekwa? Mbowe kila mda kwani hakuna watuhumiwa wengine
  7. P

    Katibu Mkuu wa CCM atoa maelekezo matatu mahususi kwa Viongozi na Watendaji wa Serikali nchini

    Mkipamba sana kwa picha nyingi inapunguza kusoma ujumbe. Picha moja inatosha na ujumbe husika.
  8. P

    Mnyika atakiwa kujieleza kwa Msajili wa Vyama vya Siasa kisa kusema Rais Samia alisema uongo

    Mnyika mpelekee flash inayoonyesha majibu yake yote kuhusu tozo,demokrasia,vipengele vya Katiba kuhusu vyama.
  9. P

    Mnyika atakiwa kujieleza kwa Msajili wa Vyama vya Siasa kisa kusema Rais Samia alisema uongo

    Watamtetea CCM si walimuona bora kupitisha awe kiongozi.
  10. P

    Ni wakati sasa kuwa na Mahakama ya Katiba na Usajili wa Vyama vya Siasa

    Ili kukuza demokrasia Nchini na uwepo uongozi/utawala bora wenye misingi ya usawa kwa kila mtawala na mtawaliwa ni wakati sasa kuwa na Mahakama ya Katiba na Usajili wa Vyama vya Siasa. Nchi inavyoenda kwa mfumo huu bila chombo madhubuti ni sawa na kuendesha kikada na fikra za mtu binafsi bila...
  11. P

    Kila mtu atavuna anachopanda

    Basi hata huduma za usafiri zisimame kutoa huduma katika jamii
  12. P

    Msajili wa Vyama vya Siasa adaiwa kumtaka Mnyika aandike barua ya maelezo kufuatia kauli aliyoitoa kuhusu Rais Samia

    Kwanini wanahangaika hivyo,kwanini wasifute vyama vya upinzani tubaki na chama kimoja. Covid 19 Bungeni kwa uongo wa CCM mbona hakuwa upande wa chama kinachowatambua. Mtungi futa vyama vya upinzani
  13. P

    Heche ahoji Chongolo kudai Katiba Mpya si hitaji la Wananchi bali Wanasiasa

    Akihojiwa na mwandishi wa Dar mpya katika mjadala uliomhusisha Sosop na Heche juu ya kauli ya katibu mkuu CCM kuhusu hitaji la KATIBA MPYA kwamba. 1. Wanaodai Katiba mpya ni wanasiasa wanaotaka madaraka na sio wananchi. Heche; Amemuuliza Chongolo ni muimbaji wa kwaya?au alitoa kauli hiyo kama...
  14. P

    Utendaji Mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma; Rais Samia tupia jicho lako hapo

    Wapi na wapi kupata hiyo suluhu Mama na Mkwe
  15. P

    Daniel Chongolo: Tume huru ya Uchaguzi haileti chakula

    Alipoteuliwa nilidhani bonge la kiongozi.Kumbe pumba kabisa Balozi anaweza kujibu vizuri kuliko hata yeye.
Back
Top Bottom