Vibali vya huduma za kiriho hutoa Mungu.Hii kauli ni chembechembe za siasa kuwafunga kutokuwa na WARAKA WA MAASKOFU.
Madhara yakunyamazisha kila kundi la kijamii litakuwa na chuki na madhara makubwa sana
Awalinde kwa gharama zote wabunge wasiotaka kuchanja kama ambavyo aliahidi kulinda wabunge wa covid 19.
Polepole na Askofu Gwajiboy bunge likianza wakakae jirani na kiti cha Jobo.Tuone nani atatangulia kufaaaa
Ili kukuza demokrasia Nchini na uwepo uongozi/utawala bora wenye misingi ya usawa kwa kila mtawala na mtawaliwa ni wakati sasa kuwa na Mahakama ya Katiba na Usajili wa Vyama vya Siasa.
Nchi inavyoenda kwa mfumo huu bila chombo madhubuti ni sawa na kuendesha kikada na fikra za mtu binafsi bila...
Kwanini wanahangaika hivyo,kwanini wasifute vyama vya upinzani tubaki na chama kimoja.
Covid 19 Bungeni kwa uongo wa CCM mbona hakuwa upande wa chama kinachowatambua.
Mtungi futa vyama vya upinzani
Akihojiwa na mwandishi wa Dar mpya katika mjadala uliomhusisha Sosop na Heche juu ya kauli ya katibu mkuu CCM kuhusu hitaji la KATIBA MPYA kwamba.
1. Wanaodai Katiba mpya ni wanasiasa wanaotaka madaraka na sio wananchi.
Heche; Amemuuliza Chongolo ni muimbaji wa kwaya?au alitoa kauli hiyo kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.