CCM Mwaka 2025, mtamruhusu Rais Samia achukue fomu pamoja na wagombea wengine ndani ya chama chenu?

Atachukuwa fomu ya kugombea peke yake kqma ilivyofqnyika kwa mwendazake ifanyike na kwa mama pia
 
Atachukuwa fomu ya kugombea peke yake kqma ilivyofqnyika kwa mwendazake ifanyike na kwa mama pia
Kwa hiyo, kwa Mihula yote awe Raisi bila kushindanishwa na wenzie?Kama unaujua utamaduni wa CCM ni lazima walau Term moja ushindanishwe na wenzio na Term moja ndio upete. Kwa hiyo, kwa kuwa mama Term moja ameshapeta kwa mjibu wa Katiba, itabidi Term nyingine kama anataka kuendelea ashindanishwe na wenzie. Ikifanyika hivyo ndio itakuwa HAKI.
 
Kwa hiyo, kwa Mihula yote awe Raisi bila kushindanishwa na wenzie?Kama unaujua utamaduni wa CCM ni lazima walau Term moja ushindanishwe na wenzio na Term moja ndio upete. Kwa hiyo, kwa kuwa mama Term moja ameshapeta kwa mjibu wa Katiba, itabidi Term nyingine kama anataka kuendelea ashindanishwe na wenzie. Ikifanyika hivyo ndio itakuwa HAKI.
Lkn haya ni maoni yako binafsi. Utamaduni wa ccm unasema ktk kipindi chake cha pili mgombea urais ataachiwa (hatashindana na wezake ndani ya chama).

Mama Samia ndiyo anaenda kipindi chake cha pili.
 
Mama hachaguliki
Hilo la kutochagulika liko wazi. Mtaani kwa utafiti hata wa mtoto mdogo atakupa jibu kuwa mama Viatu vinampwaya. Na hii sio mambo ya kusema eti Sukuma Gang ndio hawamtaki. Lakini wakati tukiangazia ukweli huo bado System inaweza kumchagua. Na mimi hapa naongea na System hiyo hiyo ili izingatie hayo maswali ninayojiuliza ili hata kama itasema "inamchagua" basi hata mjinga wa mwisho asiulize maswali kama haya.
 
Je akigombea CHONGOLA na wenzake watawaambia nini watanzania na wale wafanyakazi wa UHURU media?
 
Hilo la kutochagulika liko wazi. Mtaani kwa utafiti hata wa mtoto mdogo atakupa jibu kuwa mama Viatu vinampwaya. Na hii sio mambo ya kusema eti Sukuma Gang ndio hawamtaki. Lakini wakati tukiangazia ukweli huo bado System inaweza kumchagua. Na mimi hapa naongea na System hiyo hiyo ili izingatie hayo maswali ninayojiuliza ili hata kama itasema "inamchagua" basi hata mjinga wa mwisho asiulize maswali kama haya.
Tume fake ya uchaguzi itampitisha
 
Lkn haya ni maoni yako binafsi. Utamaduni wa ccm unasema ktk kipindi chake cha pili mgombea urais ataachiwa (hatashindana na wezake ndani ya chama).

Mama Samia ndiyo anaenda kipindi chake cha pili.
Nakubaliana na wewe utamaduni unasema hivyo lakini ili itokee hivyo kwa Factor B, ni lazima Factor A iwe imetokea. Swali la kujiuliza Awamu ya kwanza ameshindanishwa na nani? Kama hajashindanishwa na mtu bali kapata tu kwa mjibu wa Katiba, ni muhimu ashindanishwe na wengine katika kipindi kijacho kama atataka kugombea kweli.

Kama itachukuliwa hivyo hivyo, naiona hatari moja mbeleni. Inaweza kuja kutokea tukawa na Makamu wa Raisi ambaye na yeye anatamani kuwa Raisi kamili akafanya mipango ili mwenzie aondoke kwa njia yoyote ile kwa kufahamu kuwa atapeta kwa miaka Kumi bila Upinzani wa kupitishwa ndani ya Chama.
 
Kama itachukuliwa hivyo hivyo, naiona hatari moja mbeleni. Inaweza kuja kutokea tukawa na Makamu wa Raisi ambaye na yeye anatamani kuwa Raisi kamili akafanya mipango ili mwenzie aondoke kwa njia yoyote ile kwa kufahamu kuwa atapeta kwa miaka Kumi bila Upinzani wa kupitishwa ndani ya Chama.
Hapa umejenga hoja. Hoja ijibiwe na wahusika.
 
Na bibisi( BBC) wamemnukuu akisema Mungu pekee ndiye anaweza ifikapo 2025.
Hiyo Kauli ndiyo inaleta Ukakasi. Ni Kwa nini asiseme moja Kwa moja kuwa nikiwa Hai nitagombea au Sitsgombea. Kauli hiyo ina mambo mawili Kwa Maoni yangu:

1. Anaogopa kuweka wazi Kwa sasa kuwa atagombea ili asitafirike vibaya na wenzie kwa sababu alishawakataza wasijishughulishe na jambo hilo Kwa sasa badala Yake wachape Kazi. Sasa angalijibu kuwa atagombea ingalitoa picha ya yeye kutokuwa mfano wa kuigwa.

2. Kwa Kauli hiyo kuwa "MUNGU PEKEE NDIYE ANAJUA" inatoa Ishara ya wazi kuwa ikiwa atakuwa mzima basi Ni jambo linalojadilika. Ni kweli Mungu pekee ndo anajua kama mipango yetu itatimia ama la. Lakini Ni lini Mungu amewahi Kutuzuia kupanga kwa sababu tu hatujui na Yeye Mungu anapanga nini Juu ya Uhai na uzima wetu? Kwa hiyo, ukiichunguza Kauli hiyo ndio utagundua kuwa Ni kauli ya kukubali kugombea.
 
NAWAONA DEEP STATE WAKIMUANDAA MAMA KISAIKOLOJIA KUPITIA GAZETI LA UHURU!!!!MAMA KAPANIKI SANA HAJUI ANACHEZA NA NANI!!ANAMTUMA KIDAGAA SHAKA ABWEKE KAMA MBWA MBELE YA CHATU!!!!!!!!DR. HUSSEN MWINYI ANAKUBALIKA SANA NA JESHI HATA NA WENYE CHAMA NDIO CHAGUO 2025 LA CHAMA!!!NASHANGAA HAJAPEWA UENYEKITI WA CHAMA ZANZIBAR!!!NAMUONA SHEIN AKIWA TEAM SAMIA HAPO 2025!!!!KAMA MAMA ATAZINGULIWA KUPEWA KIJITI ATAMWAGA MBOGA NA UGALI!!!!UPINZANI MAKINIKENI MNA NAFASI HAPO 2025!! MTIFUANO WA NDANI UTAWAPA UPINZANI NGUVU YA KUCHUKUA KITI!!!!!!NAOMBA UZIMA TUONE MAMBO!!!!
 
Hapa umejenga hoja. Hoja ijibiwe na wahusika.
Na hii Ni Hatari ya Dhahiri kabisa! Unajua hata Jana nimemshangaa sana Chongolo anajibu swali la Katiba kama Sio Katibu Mkuu wa Chama. Katibu Mkuu ndio Engine ya Chama. Huyu ndio mupika Maono ya Chama. Nilitarajia kifo cha Marehemu Magufuli na ile Constitutional Testing tuliyoipitia iwe imemfunza jambo kuwa Katiba inahitaji marekebisho. Hebu tuulizane tu: Ni dhahiri kama Katiba ingalikuwa inatoa nafasi ya uchaguzi baada ya kifo cha Magufuli Chama Kingalimpitisha mama awe mgombea Wao? Aseme tu wazi aache unafiki. Mpaka hapo haoni kuwa Katiba hiyo, inawapa nafasi ya kiti cha Uraisi kurithiwa na mtu wasiyemtaka au asiyekuwa na uwezo wa kutosha kushika hiyo nafasi?

Nasema ukweli, Ikitokea mama ameruhusiwa kuwania nafasi ya Uraisi tutakuwa kama Chama tume-set Precedence ya hatari sana kwa Na Taifa. Nchi hii ilishashuhudia Waziri mkuu Mmoja akatamani mpaka kusilimu ili mradi apewe Financial Support ya kugombea Uraisi. Nadhani mnakumbuka stori hii ya Mwalimu Nyerere. Attempt ya namna hiyo inatoa Ishara kuwa baadhi ya wanadamu wanaweza kutumia njia yoyote ilmradi kuyapata madaraka. Sasa Kwa mjibu wa Katiba hii ambayo Chongolo anasema haina haja ya kuibadilisha ikitokea akawepo Makamu wa Raisi akaamua kuitumia ili awe Raisi mtamfanyaje? Kuna mtu atakataa Kumwapisha? Je, CCM hawalioni hata hili? Hawaoni kuwa mama akiachiwa agombee pekee itawa-trigger watu waone kuwa ili uupate Uraisi Kwa wepesi bila ushindani njia pekee Ni kuwa Makamu wa Raisi tu?
 
NAWAONA DEEP STATE WAKIMUANDAA MAMA KISAIKOLOJIA KUPITIA GAZETI LA UHURU!!!!MAMA KAPANIKI SANA HAJUI ANACHEZA NA NANI!!ANAMTUMA KIDAGAA SHAKA ABWEKE KAMA MBWA MBELE YA CHATU!!!!!!!!DR. HUSSEN MWINYI ANAKUBALIKA SANA NA JESHI HATA NA WENYE CHAMA NDIO CHAGUO 2025 LA CHAMA!!!NASHANGAA HAJAPEWA UENYEKITI WA CHAMA ZANZIBAR!!!NAMUONA SHEIN AKIWA TEAM SAMIA HAPO 2025!!!!KAMA MAMA ATAZINGULIWA KUPEWA KIJITI ATAMWAGA MBOGA NA UGALI!!!!UPINZANI MAKINIKENI MNA NAFASI HAPO 2025!! MTIFUANO WA NDANI UTAWAPA UPINZANI NGUVU YA KUCHUKUA KITI!!!!!!NAOMBA UZIMA TUONE MAMBO!!!!
Hili nalo neno! Hivi ni kwa nini mama amekabidhiwa Uenyekiti mapema kuliko hata Mwinyi ambaye alimtangulia kushika Uraisi? Na kama wanasubiria mwakani ndo wampe hiyo Nafasi, ni kwa nini mama naye asingalisubiria mpaka Mwakani. Kuna haja ya kutolichukulia jambo hili juujuu tu.
 
Kama itachukuliwa hivyo hivyo, naiona hatari moja mbeleni. Inaweza kuja kutokea tukawa na Makamu wa Raisi ambaye na yeye anatamani kuwa Raisi kamili akafanya mipango ili mwenzie aondoke kwa njia yoyote ile kwa kufahamu kuwa atapeta kwa miaka Kumi bila Upinzani wa kupitishwa ndani ya Chama.
Kuepusha haya ni mpk hapo katiba, kanuni na taratibu za chama zitakapobadilika.

Lkn ni nani wa kubadilosha? Kumbuka chama Kiko mikononi mwa mama mwenyewe. Je, yuko tayari kukinoa kisu ili kimkate mwenyewe??
 
Kuepusha haya ni mpk hapo katiba, kanuni na taratibu za chama zitakapobadilika.

Lkn ni nani wa kubadilosha? Kumbuka chama Kiko mikononi mwa mama mwenyewe. Je, yuko tayari kukinoa kisu ili kimkate mwenyewe??
Halafu mambo ya Nchi hii Bwana! Ndio maana watu wengine wanaamua tu kujikalia kimya. Ukisema unapambana ndio matokeo kama ya akina Mbowe kutuhumiwa Magaidi na kuacha Familia. Nasikia mama hataki kabisa kuambiwa hana uwezo wa kuongoza. Na nimeona Statement yake moja hivi inayohusiana na Suala hilo.
 
Hili nalo neno! Hivi ni kwa nini mama amekabidhiwa Uenyekiti mapema kuliko hata Mwinyi ambaye alimtangulia kushika Uraisi? Na kama wanasubiria mwakani ndo wampe hiyo Nafasi, ni kwa nini mama naye asingalisubiria mpaka Mwakani. Kuna haja ya kutolichukulia jambo hili juujuu tu.
Zilikuwa mbinu za Chakubanga
 
Back
Top Bottom