Sema huko ni gharama yaani hapo kidogo angalau ni blender na krita na bado hizo software ni ghari pia ni ngumu kuzimaster na huhitaji PC ya maana Sasa Ili kupata pakuanzia ndio tupo huku kwenye android na flipclip japo nayo sio ya kizembe.
Ni kweli mkuu sema internet na Smart device zinasaidia sana aisee. Mfano huko kwenye freelancing site ukiweka ka mfano kidogo lazima upate chochote kitu.
Hapana sio graphics tablet ni tablet la kawaida tu kama simu tu ila lenyewe nalipendea Kwa Sababu ya large surface. graphics tablet ni Bei ghali mno micro anime mm sijaipata ila kitambo hicho nilianzaga na stoppola hii niliona itanighalimu kwakuwa ilikua unachorea nje then unascan picha kwenye...
Jamii zetu bado sana aisee ila bado unaweza mkuu wenyewe wanasema hii fani unastafu Hadi pindi ambapo mikono yako itakuwa haiwezi kushika pencil chakufanya tafuta tablet la android hili ni cheap sana. Na application kama vile flipclip na ibis paint
2d animation kazi kumbwa ipo kwenye kuchora hayo mengine sijui animation mechanics, mambo ya frame ni kawaida sana. Ila wa 3d animation sijui modelling, texturing, sculpting, rigging, rendering sijui ndo uje kwennye animation mechanics, frame, storyboards ndio maana 3d animation huwa haifanywi...
Tatizo kuitransform freelancing kuwa big business ndio utata hafu mle una yonyeka sana. Kwa Sababu nimejaribu kuangalia client wengi wa animation wengi Wana YouTube channel ndio wanahost zile
2d animation kama unajua kuchora unaweza Anza hata Sasa ila katika ulimwengu wa 3d sikushauri inahitaji uwekezaji aisee nilisha jifunzaga blender ule mziki sio wa nchi hii hafu kwenye kutengeneza animation ndio utata mkuu sijui kuna ku add bone, sijui physics, mara kurender yaani ni hatari ila...
Wakuu nimekua nikitamani kufanya cartoon na 2d animation tangu niko shule. Hivyo imepita miaka mingi bila kutimiza ndoto kutokana na kutokuwa na resource mbalimbali.
Sasa mwaka fulani hivi nilipata wazo kuhusu cartoon nanipo mbioni kulitimiza lakini kimbembe nimekiona kwenye 2d animation Kwa...
Kule zinavuna combiner harvest sanasana hivyo kazi zilizopo nizakubeba vipeto vya mpunga kutoka mashambani kuja Hadi gari linapopakia pia kuna kazi za kupakia kwenye magari kule ukiwa una nguvu kiasi chake msimu huu hukosi 30k Kwa siku japo kunanjemba zinapiga Hadi 100k per day. Kwahiyo watano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.