Wakuu naishi vipi na 2d animation skills

Hapana sio graphics tablet ni tablet la kawaida tu kama simu tu ila lenyewe nalipendea Kwa Sababu ya large surface. graphics tablet ni Bei ghali mno micro anime mm sijaipata ila kitambo hicho nilianzaga na stoppola hii niliona itanighalimu kwakuwa ilikua unachorea nje then unascan picha kwenye app nikaona jau nikaja kujua kuhusu flipclip mayo haikua nzuri Kihivyo ila update za hivi karibuni zimenifanya nione fursa inawezekana.
Safi
Mbinu ni nyingi katika kufanya animations.

Ushauri wangu .
Ni vema kutumia zile mbinu ambazo zitakupa nafasi ya kufanya kazi kama team na wengine.
Namaanisha kunakuwaga na zile universal standard kwenye production ya multimedia contents.

😀 Kuna amabae anatumia premeire pro na photoshop.

After affects+illustrator +photoshop

Moho pro (hii inafanya kila kitu)

Kuna ambao tunafanya 2d kutumia blender😀.

Na hizo ambazo umeziweka wewe hapo.
 
Safi
Mbinu ni nyingi katika kufanya animations.

Ushauri wangu .
Ni vema kutumia zile mbinu ambazo zitakupa nafasi ya kufanya kazi kama team na wengine.
Namaanisha kunakuwaga na zile universal standard kwenye production ya multimedia contents.

Kuna amabae anatumia premeire pro na photoshop.

After affects+illustrator +photoshop

Moho pro (hii inafanya kila kitu)

Kuna ambao tunafanya 2d kutumia blender.

Na hizo ambazo umeziweka wewe hapo.
Sema huko ni gharama yaani hapo kidogo angalau ni blender na krita na bado hizo software ni ghari pia ni ngumu kuzimaster na huhitaji PC ya maana Sasa Ili kupata pakuanzia ndio tupo huku kwenye android na flipclip japo nayo sio ya kizembe.
 
Sema huko ni gharama yaani hapo kidogo angalau ni blender na krita na bado hizo software ni ghari pia ni ngumu kuzimaster na huhitaji PC ya maana Sasa Ili kupata pakuanzia ndio tupo huku kwenye android na flipclip japo nayo sio ya kizembe.
Nimekuelewa vema mkuu.

Pc inabidi iwe na uwezo lazima uiPimp na vitu kama graphics card na mazga mengine vinginevyo .

Mwisho wa siku unajikuta umewekeza pesa na energy kubwa kwenye kitu ambacho soko lenyewe ndio hivyo.
 
Wakuu nimekua nikitamani kufanya cartoon na 2d animation tangu niko shule. Hivyo imepita miaka mingi bila kutimiza ndoto kutokana na kutokuwa na resource mbalimbali.

Sasa mwaka fulani hivi nilipata wazo kuhusu cartoon nanipo mbioni kulitimiza lakini kimbembe nimekiona kwenye 2d animation Kwa maana sielewi nitauza vipi. Japo Nina kishikwambi Cha inch 10.1 na nilinunua app ya flipclip ambayo ni lifetime hivyo hivi vitu vimeniamsha kufanya jambo hili ila sielewi jinsi Nitauza
Kwamba bado hujajua kutengeneza animation ila unatafuta namna ya kuuza animation? Au sijaelewa mkuu
 
Sema huko ni gharama yaani hapo kidogo angalau ni blender na krita na bado hizo software ni ghari pia ni ngumu kuzimaster na huhitaji PC ya maana Sasa Ili kupata pakuanzia ndio tupo huku kwenye android na flipclip japo nayo sio ya kizembe.

Kweli.
Si unajua kuna wakina sisi tupo na closed mindset tukijizoesha kutumia application ndiyo hiyo hiyo.
Tunajisahaulisha kuwa ulimwengu wa it ni wakujiupdate kila siku.

Unajitesa kutebgeneza character wako wakati kuna uwezekano wa customize character ambaye yupo full.
 
Wakuu nimekua nikitamani kufanya cartoon na 2d animation tangu niko shule. Hivyo imepita miaka mingi bila kutimiza ndoto kutokana na kutokuwa na resource mbalimbali.

Sasa mwaka fulani hivi nilipata wazo kuhusu cartoon nanipo mbioni kulitimiza lakini kimbembe nimekiona kwenye 2d animation Kwa maana sielewi nitauza vipi. Japo Nina kishikwambi Cha inch 10.1 na nilinunua app ya flipclip ambayo ni lifetime hivyo hivi vitu vimeniamsha kufanya jambo hili ila sielewi jinsi Nitauza

Hongera kwa kutia nia hii sector, kama unataka kujifunza kwa lugha ya kiswahili wacheki hawa jamaa instagram

1.Pandakilima
Link ya Profile yake ya instagram
Link ya Youtube chaneli yake

2.Boaz Peter ( bongerstudios & bonger toons)
Link ya instagram yake

3.Tai plus
Hii ni organization inatumia 2D & 3D content kufikisha ujumbe kwa jamii
Link ya page ya instagram


4.Devin Martin a.k.a Fikiria 3D
(Login • Instagram anafundisha 3D with practical classes in Dar)

Link ya instagram yake

Binafsi nimejifunzia kwa pandakilima pia inabitaji tu uwe na tablet kama kianzio maana kuchora sio kipaji ila kuna kanuni za uchoraji (illustration) ambazo mtu yeyote anaweza fata na akawa animator mzuri tu

Nadhani hapa utapata mwanga wa kuanzia kikubwa ni nidhamu ya kujifunza tu
 
Back
Top Bottom