Search results

  1. M

    Serikali/TRA yazitaka Benki kutopandisha viwango vya tozo/ VAT katika miamala yake

    One of sourcesL Channel 10 Taarifa (7pm - 8pm) ITV Taarifa (8pm - 9pm) Friday July 1, 2016
  2. M

    Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron atangaza kujiuzulu baada ya Uingereza kujitoa EU

    Hivi hii kitu, "Brexit Vote" ina mambo mazuri kwa Uingereza? Hivi tusimamie upande gani, "Uingereza KUCHELE au Uingereza KUCHWELE'? Wataalam wa anga za kiuchumi na kimataifa mtujuvye ....
  3. M

    How to verify the IMEI Code of your mobile device

    Analysis of IMEI numbers All mobile phones are assigned a unique 15 digit IMEI code upon production. Below you can check all known information regarding manufacturer, model type, and country of approval of a handset. Tip! The IMEI can be displayed on most mobile handsets by dialling *#06#...
  4. M

    Wajue Rockafeller Family: Familia tajiri zaidi Marekani na Duniani

    Asante kwa thread nzuri yenye kupanua ufahamu katika maswala ya kiuchumi angalau kidogo kwetu tusio nguli katika eneo hilo. Kwa nyongeza, tunapoongelea "Utajiri" yaweza kuwa mada pana sana hasa kwa kuzingatia kwamba unaongelea utajiri wa mtu, taasisi, nchi na kwa vigezo gani unajenga hoja yako...
  5. M

    Historia ya Paul Makonda

    Kuhusu mkubwa nani kati ya DC na mbunge - hiyo equation haiko wazi; wawili hao wote wanatoka kwenye mihimili tofauti ya dola - Serikali (Makonda kama mkuu/rais wa wilaya), na Bunge (Kubenea kama mbunge/mwakilishi wa jimbo la wananchi). Kamwe huwezi kuwaweka hao pamoja na kusema nani mkubwa -...
  6. M

    Chui wa kwenye mbuga zetu wanaishi maisha ya kifahari kuliko mtz wa kawaida

    Duh ... Aisee umefika mbali sana; asante kwa kutoa (yamkini) yaliyo mioyoni mwa wengi
  7. M

    Fedha za Stanbic ziligharamia kampeni UKAWA?

    Sidhani kama ni muda muafaka kuanza kuongelea UKAWA, CDM au CCM; hebu tuweke pembeni tofauti zetu za kisiasa (kwani kuna maisha baada ya uchaguzi) tujenge nchi uetu yenye kubarikiwa. Kama kuna wahusika basi wahusishwe kama wao na sio kutuchanganya kwani mambo ya jinsi hii hayatujengi kabisa...
  8. M

    Msaada wa vitabu vya ujasiriamali

    "Enterpreneurship" download free. Electronic library. Finding books bookzz
  9. M

    Funzo kwa CHADEMA: Huwezi kwenda Ikulu kwa kutumia njia ya mkato

    Wakati naweza kukubaliana nawe kwa mengi, zingatia matumizi mazuri ya maneno. Nukuu yako haiko sawa; Mwl Nyerere hakutumia neno "dogs" kumaanisha kile alichosema kwa mantiki/maudhui ya lugha ya kiingereza (hapa usitafsiri kwenda kiswahili neno kwa neno). Mwl Nyerere alitumia neno "underdogs"...
  10. M

    Rwanda: Tanzanians Get Taste of Kagamecracy Made in Rwanda, and Loving it

    Tunaposema 'nchi ni kubwa' lazima tuelewe tunamaanisha nini. Ni ukubwa wa eneo lake au ni ukubwa wa mambo mengine; uchumi, technology, nk? Kuna nchi nyingi ni kubwa kwa vyote; USA, China, Russia, na India(?) Lakini kuna nchi nyingine ni ndogo sana kwa eneo lakini ziko powerful kwa mambo...
  11. M

    Nani kaenda Geneva, Uswisi na Ndege ya Rais?

    Your address: www.https://www.flightradar24.com is not correct, Get it right here/below: https://www.flightradar24.com/reg/5h-one
  12. M

    Ati Ringtone kumuoa Ray C?

    This seems to be personal
  13. M

    Dr. Tulia Ackson, nani amekutuma? Unataka nini? Kwanini?

    HapNa sidhani kama inahusiana na kifungu gani. Ni kutokana na mfumo wetu wenye kuleta mkanganyiko wa mihimili mikuu ya dola, yaani Serikali (Executive) mtendaji mkuu wa nchi, kisha Mahakama (Judicial) ambapo maswala ya haki na sheria huingia hapo,na mwishoni ni Bunge (Legislative) kama chombo...
  14. M

    Hivi uwepo wa maafisa wa Ikulu wenye asili ya Rwanda na Burundi si tatizo kwa usalama?

    Usiwe na hofu idara husika iko makini, (swala hapa sio wapi mtu anatoka ni nini anafanya hasa kwa mambo yenye kugusa usalama na maslahi ya taifa) mtanzania akifanya ovyo atatambuliwa mapema tu,poa na tuliza moyo things in control
  15. M

    VIDEO: Rais Magufuli akizungumza Kiingereza safi

    Hivi mtu amesoma combi ya Science ikihusisha Physics & Chemistry, tena akaenda BSc had PhD in Chemistry alikuwa anasoma kwa Kisukuma? Ukweli usiopingika ni kwamba: 1. Kujua na kuongea English (hata kwa mtiririko mzuri) sio kigezo cha elimu, si tunamkumbuka President wa China wakati wa ufunguzi...
  16. M

    Before Columbus: How Africans Brought Civilization to America

    Source: http://www.globalresearch.ca/before-columbus-how-africans-brought-civilization-to-america/5407584?print=1
  17. M

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Fuata utaratibu (ITIFAKI izingatiwe), huna haja ya kumwaga mtama mbele ya kuku hapa; wengine wataukanyaga tu na mwishowe hutaonekana mwenye HEKIMA. Wewe kama Mchungaji, huna viongozi wako wa juu katika kanisa lako; taasisi inayotambulika rasmi serikalini? Huna Askofu Mkuu ambaye kwa nafasi yake...
  18. M

    Je, umeshawahi kusoma hiki kitabu Psychology of intelligence analysis?

    Pia hapa: http://bookzz.org/book/1186322/11a485
  19. M

    Je, umeshawahi kusoma hiki kitabu Psychology of intelligence analysis?

    Zingatia hakimiliki (copyrights) pamoja na uhalifu wa mtandaoni, before you take a step forward think first.
  20. M

    Radio Station name

    Jina la kituo cha redio inategemea na kusudi kuu la redio hiyo. Unapenda redio iwe ya mchepuo gani; dini, michezo, movie, au mambo yote kwa ujumla kama ambavyo karibu vituo vingi vipo hivyo? Pamoja na kuwa kituo kitarusha matangazo kwa ujumla, bado unaweza kusisitizia eneo kuu km elimu, sayansi, nk
Back
Top Bottom