kilambalambila
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 9,294
- 8,626
Nchi Hii Kwa Ilivyo Sasa Inabidi Kutumia Style Ya Makonda Kwanza Ili Watu Wanyooke Na Wajue Kuna Serikali. Wako Vijana Na Watu Wazima Walioambukizwa Ujuha Na Viongozi Hasa Wa Kisiasa Wasioheshimu Mamlaka. Hawa Ni Kudeal Nao Hivihivi Kwanza Baada Ya Mwaka Watakuwa Wamerudi Kwenye Mstari