The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,509
- 13,164
magufuli ni mtaalamu wa chemistry sio linguistic.hata kama hajui english lakini si anaeleweka!au kujua sadam husein ni wa libya kwani yeye ni mwana historia?
Akichanganya Kihaya, Kisukuma, Kisubi, Kijita, Kinyakyusa, Kihehe ............... mnamsifia ni linguistic. Ikija kwenye kuvunja mayai msemo unabadilika!!
Anyaway, cha kuombea maji anakijua. Ila tu tafadhari asije kujitosa kwenye interview na akina Christine Amanpour, Hala Golan au the Hard Talk!! Huko ni bora atumie lugha yetu ya Taifa!!