SUPER PREDATOR
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 2,093
- 725
- Thread starter
- #41
we jamaa una akili sana!! hilo jibu ulilompa linabeba maana kubwa!! salute kwako!!
Huyu amejitambua kibisa, na ameelewa
we jamaa una akili sana!! hilo jibu ulilompa linabeba maana kubwa!! salute kwako!!
Ukiona unataabika katika maisha jua kuna mahali ulipokosea......huko nyuma kwenye mchakato....
Yani wewe ukila nyama kila siku ndio maisha mazuri? Jee unamjua boss wa Facebook? Unafahamu kwamba yeye hali nyama wala pilau?
Chakula chake ni matunda na mboga za majani tuu???
Ahaaa, hebu fanya kama na wewe unaenda kuishi mbugani ili uwe na maisha hayo ya kifahari
Mkuu nyama nyekundu ina lehemu nyingi na ni hatari kwa afya yako
Duh...! Hao Simba ni balaa wanapanda miti??? Waletwe huku kwetu maana wauza mkaa wamemaliza miti yote
Yani wewe ukila nyama kila siku ndio maisha mazuri? Jee unamjua boss wa Facebook? Unafahamu kwamba yeye hali nyama wala pilau?
Chakula chake ni matunda na mboga za majani tuu???
Kama kweli ww ni SUPER PREDATOR basi utakuwa unajua hilo!
Hahahaahhaa uko tayari kujituma kama chui? Uko tayari kuwa na target na malengo kama Chui?
Yaani mkuu nadhani wewe umenielewa kuliko watu wengi
Hahaahaaaa maana na mimi ni jamii ya chui ndio maana
Ha haha ha ha ha jamaaa uko vzr.live bila chenga chui hapigwi mabom ya machoz.
Duh ... Aisee umefika mbali sana; asante kwa kutoa (yamkini) yaliyo mioyoni mwa wengi
vituko hivyo