Dr. Tulia Ackson, nani amekutuma? Unataka nini? Kwanini?

Magufuli amwache apige siasa huyu Tulia ili ateue mwingine anayetaka kuwa Naibu Mwanasheria wa Serikali (anaonekana mwanasiasa hatuna imani naye tena)
 
Tupatupa naomba utusaidie kidogo. Huyu mtu kaomba nafasi ya kugombea Uspika kwa kupitia CCM, Hapo inamaanisha yeye ni kada wa chama. Madaraka aliyonayo hayamruhusu kujidhihirisha kuwa ni kada wa chama. Sasa jee akiukosa huo Uspika, jambo ambalo ni dhahiri atarudi tena kwenye ofisi yake ya Naibu Mwanasheria mkuu wa serikali?
Jee iwapo atarudi na jambo hilo likapotezewa kama ilivyo kawaida ya serikali hii ya ccm, sasa kesho na kesho kutwa akijitokeza kiongozi mwingine wa serikali eitha Katibu mkuu, Kamishna au mwenye wadhifa wowote akagombea nafasi yeyote ya juu inayodhaminiwa kichama kwa kupitia Chadema au CUF na akashindwa ataruhusiwa kurudi kazini kwake?
 
Mleta mada ulitaka afanyeje sasa wakati sheria hazirusu mgombea binafsi ni lazima apitie chama cha siasa na kwa vyovyote vile unajua angechagua chama tawala ili aendelee kulinda ajira yake kama ataukosa uspika. yeye binafsi anajiona anauwezo wa kuwa Spika asizuizwe kutimiza ndoto yake tunajua watumishi wengi wa ngazi za juu ni makada hili halina ubishi kwa kuwa amejitokeza lisiondoe huo ukweli. Binafsi namuona anauwezo na atafika mbali. a
 
Tupatupa naomba utusaidie kidogo. Huyu mtu kaomba nafasi ya kugombea Uspika kwa kupitia CCM, Hapo inamaanisha yeye ni kada wa chama. Madaraka aliyonayo hayamruhusu kujidhihirisha kuwa ni kada wa chama. Sasa jee akiukosa huo Uspika, jambo ambalo ni dhahiri atarudi tena kwenye ofisi yake ya Naibu Mwanasheria mkuu wa serikali?
Jee iwapo atarudi na jambo hilo likapotezewa kama ilivyo kawaida ya serikali hii ya ccm, sasa kesho na kesho kutwa akijitokeza kiongozi mwingine wa serikali eitha Katibu mkuu, Kamishna au mwenye wadhifa wowote akagombea nafasi yeyote ya juu inayodhaminiwa kichama kwa kupitia Chadema au CUF na akashindwa ataruhusiwa kurudi kazini kwake?

Ndugu zangu hapa ni kama tunapoteza tu muda, kwa sehemu kubwa sheria za nchi hii zina macho, kosa likifanywa na upande wa upinzani utaona mara moja hatua zinachukuliwa lakini kosa kama hilo likifanywa na ccm au kwa utashi wa kiccm utaona linafumbiwa macho au utasikia majibu ya kwamba wapinzani mmezidi kulalamika. Hujawahi kumuuona mtu kama Kova akijaribu kutengeneza movie ya kuuchafua upinzani kwa maslahi ya ccm unaweza ukacheka jinsi anavyotumia nguvu kubwa kuhalilisha kosa. Hii tabia ndio inatufanya tusiwe na maendeleo bali maendeleo ya kulazimishwa yapo kwani kuanzia msomi mpaka viongozi wa dola na mahakama wote ni full kujipendekeza kwa watawala. Na ni kwanini wote hao unawakuta wanajipendekeza? kwa urahisi tu ni watu wasio na uwezo kwenye post husika ama wanatumia post zao kwa maslahi binafsi.
 
Nahisi hata ile kesi ya msaidizi wa kampeni wa lowasa huyu mama anahusika na ana mkono wake,pia hats kufutwa matokeo ya Zanzibar lazima aliulizwa kwanza
 
Hapa ndio tutaona ukomavu wa serikali ya magufuli kama hatomwachisha kazi kwa kiwa kada wa CCM ...naomba wanaharakati wapige makelele aondolewa kwenye nafasi yake
 
Kaka kanuni na sheria ziko hivi, kwa cheo chake alichonacho cha kiserikali (naibu Mwanasheria Mkuu) hauruhusiwi kujihusisha na mambo ya kisisasa au kuwa mwanachama wa chama chochote cha kisiasa, sasa anapoenda kuchukua fomu za kugombea Uspika kwa mgongo wa CCM hili hali bado ajatoka serikalini hilo ni kosa

Hujajibu swali.acha maneno mengi.taja kifungu cha sheria au kanuni inayomkataza kuwania hiyo nafasi.
 
Tupatupa naomba utusaidie kidogo. Huyu mtu kaomba nafasi ya kugombea Uspika kwa kupitia CCM, Hapo inamaanisha yeye ni kada wa chama. Madaraka aliyonayo hayamruhusu kujidhihirisha kuwa ni kada wa chama. Sasa jee akiukosa huo Uspika, jambo ambalo ni dhahiri atarudi tena kwenye ofisi yake ya Naibu Mwanasheria mkuu wa serikali?
Jee iwapo atarudi na jambo hilo likapotezewa kama ilivyo kawaida ya serikali hii ya ccm, sasa kesho na kesho kutwa akijitokeza kiongozi mwingine wa serikali eitha Katibu mkuu, Kamishna au mwenye wadhifa wowote akagombea nafasi yeyote ya juu inayodhaminiwa kichama kwa kupitia Chadema au CUF na akashindwa ataruhusiwa kurudi kazini kwake?
Kwani mkuu unafikiri watumishi wa umma hawana vyama? Akikosa nafasi ya kisiasa anarudi kwenye utendaji ambacho hakiruhusiwi ni kuonesha maslahi ya Chama kwenye utendaji basi.
 
Kwani mkuu unafikiri watumishi wa umma hawana vyama? Akikosa nafasi ya kisiasa anarudi kwenye utendaji ambacho hakiruhusiwi ni kuonesha maslahi ya Chama kwenye utendaji basi.
Huyu atakuwa anabambikizia wapinzani kesi kwa kutumia nafasi yake,atoke hapo kabla moto haujawaka,awaachie wanasheria wengine,wapo wengi tu halo na isitoshe yeye kaletwa hapo na mafuriko,angekuwa kalelewa na hiyo ofisi asingethubutu kufanya hivyo
 
Kifungu gani cha sheria au kanuni kinamkataza kuwania hiyo nafasi?
HapNa sidhani kama inahusiana na kifungu gani. Ni kutokana na mfumo wetu wenye kuleta mkanganyiko wa mihimili mikuu ya dola, yaani Serikali (Executive) mtendaji mkuu wa nchi, kisha Mahakama (Judicial) ambapo maswala ya haki na sheria huingia hapo,na mwishoni ni Bunge (Legislative) kama chombo cha kutunga sheria na kuisimamia/kuishauri serikali). Mwanasheria wa serikali ni mtumishi wa serikali katika maswala ya kisheria (ni mshauri mkuu wa serikali), Sasa tunaposikia ameingia kugombea uspika hapa kunakuwa na "ninafahamu" nyingi sana ambazo zinaendeshwa kwa mfumo wa "sintofahamu" kama ilivyo kwa baadhi ya wabunge (wako bungeni kama wabunge), na pia wako serikalini kama mawaziri. Duh, hapa kazi bado mbichi.
Nimeongea zaii kizalendo sio kichama, naomba nieleweke hivyo.
Naomba kuwasilisha
 
Hujajibu swali.acha maneno mengi.taja kifungu cha sheria au kanuni inayomkataza kuwania hiyo nafasi.

Tulia amechemka, period. Ndio shida ya kuteua watoto nyadhifa za juu. They don't know their positions or what they want.
Hivi mwezi kabla hajakuwa Naibu MMS, alikuwa anataka kuwa Spika? Kama ndiyo, kwanini hakukataa cheo chake cha sasa akisubiria kuwa Spika?
 
Kifungu gani cha sheria au kanuni kinamkataza kuwania hiyo nafasi?

Common sense tu hapo hauhitaji kifungu cha sheria, utashi wa kua naibu mwanasheria mkuu, haumpaswi kujitanabaisha kwAmba yeye ni kada wa ccm
 
Mleta mada ulitaka afanyeje sasa wakati sheria hazirusu mgombea binafsi ni lazima apitie chama cha siasa na kwa vyovyote vile unajua angechagua chama tawala ili aendelee kulinda ajira yake kama ataukosa uspika. yeye binafsi anajiona anauwezo wa kuwa Spika asizuizwe kutimiza ndoto yake tunajua watumishi wengi wa ngazi za juu ni makada hili halina ubishi kwa kuwa amejitokeza lisiondoe huo ukweli. Binafsi namuona anauwezo na atafika mbali. a

Kuwa Spika wa Bunge la JMT sio lazima utokane na chama fulani cha siasa. Unaweza kuwa mgombea huru.
 
VUTA-NKUVUTE

Mzee wangu,tumepoteana muda mrefu.Haya za Maigizo ya Kampeni na viroja vyake??Nadhani umevuka salama.

Kwa hoja yako hii KUU,Mzee wangu umechelewa kumuelimisha,kwa sasa tumeshajua kwamba ni RUKHSA kwa mfanyakazi wa SERIKALI kuwa MWANACHAMA wa CCM,lakini SI wa CDM,CUF au NCCR.

Imenishangaza,ndiyo maana hata MAHAKIMU wale badala ya kutoa HUKUMU ya MITA 200 wakatoa ORDER kwamba watu wasikae hata mita 500,maana wakishapiga KURA waondoke kabisa tukakae nchi jirani ili kusubiri uhesabuji wa KURA.

HAKIKA hii imelitia DOA JEUSI chama CHETU KITUKUTU CHA CCM.
 
Last edited by a moderator:
Kuwa Spika wa Bunge la JMT sio lazima utokane na chama fulani cha siasa. Unaweza kuwa mgombea huru.

Ni lazima uwe unatokana na CHAMA cha SIASA,sababu MGOMBEA huru bado ni ngumu na haiko kisheria kwa sasa.Labda kwenye katiba Mpya
 
Back
Top Bottom