Nadhani Bingwa umeshindwa kung'amua jambo katika ili.
Jamaa walichungulia na kubaini kuwa angewadhuru kupelekea kufanyiwa jambo kubwa.
Mm niliona Baleke na Konde boy ndio ambao walipaswa kufunga magoli na yasingerudi.
Kwakuliona ilo jamaa wakafanya yao
Pamoja na mapenzi ya dhati kwa Simba na juhudi za wapenzi hao, nimesikitika kuambiwa mwenyekiti wao aliesimamia ujenzi wa bango Amefariki baada tu ya kukamilisha ujenzi huo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.