Nahitaji mwenza wa Maisha (mwanaume)

Mimi ni binti wa miaka 30, muislamu, naishi Dar es Salaam, ni mwajiriwa wa sekta binafsi na ni mama wa mtoto mmoja nipo single nahitaji mwenza wa maisha ikiwa heri tuishi pamoja.

Sifa za mwenzi ninayemtaka
1. Awe na umri kuanzia miaka 32 na kuendelea.
2. Dini yoyote ila akiwa muislamu itapendeza zaidi.
3. Ajitegemee kiuchumi na awe na awe na mtazamo chanya kiuchumi.
4. Awe mwenye utu na ajue thamani ya upendo na awe tayari kwenye mahusiano.
5. Nitapendelea zaidi akiwa na mwili wankawaida na kimo Cha kawaida.
Nakushauri nenda kwa Shekhe ama Ustadhi madrasa ya wanawake utapata mume haraka sana. Humu hakuna ndoa utapoteza muda wako tu. Njoo pm nikuuganishe na group la kiislamu kuoa na kuolewa. Kama unakuja kudanga huku sawa ila hakuna ndoa huku.
 
Baba wa mtoto yupo? Kama bahati mbaya alifariki kaburi lipo na je Cd au mkanda wa mazishi upo?
Bichwa kama flampeni,
Hivi unaona kabisa ni maneno ya kuuliza humu haya? Si uende PM?
Rubbish, kichwani umebeba mende, wewe bila shaka ni mganga wa kienyeji.

Mtoa mada ana wewe kua makini, kuna mwenzako naye juzi tuu hapa alikuja kulalamika, walitongozana humu kilichompata ndio malalamiko aliyoleta.
 
Wazee wa kusoma gazeti jioni mnakaribishwa huku. Umejipambanua vizuri sana huhitaji ndoa unahitaji Mwenza hii iko safi no attachments
 
Nakushauri nenda kwa Shekhe ama Ustadhi madrasa ya wanawake utapata mume haraka sana. Humu hakuna ndoa utapoteza muda wako tu. Njoo pm nikuuganishe na group la kiislamu kuoa na kuolewa. Kama unakuja kudanga huku sawa ila hakuna ndoa huku.

Huko akubali ndoa ya matara, awe ready kuwa mke wa pili atapata mume faster tuu
 
Bichwa kama flampeni,
Hivi unaona kabisa ni maneno ya kuuliza humu haya? Si uende PM?
Rubbish, kichwani umebeba mende, wewe bila shaka ni mganga wa kienyeji.

Mtoa mada ana wewe kua makini, kuna mwenzako naye juzi tuu hapa alikuja kulalamika, walitongozana humu kilichompata ndio malalamiko aliyoleta.
Acha makasiriko mzee tatizo la watanzania hampend maswali magumu
 
Nakushauri nenda kwa Shekhe ama Ustadhi madrasa ya wanawake utapata mume haraka sana. Humu hakuna ndoa utapoteza muda wako tu. Njoo pm nikuuganishe na group la kiislamu kuoa na kuolewa. Kama unakuja kudanga huku sawa ila hakuna ndoa huku.
Ndoa zipo sana tumia ushauli wako vizuri siyo kukatisha tamaa watu ndoa zipo sana
 
Na hizi aidiiii fekiii😂😂😂 enewei kila kitu ni sawa katika ulimwengu,juu kama chini,chini kama juu tu....
Je sauti yako ya ndani imekuambia huku kuna mtu huyo unayehitaji ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom