Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,209
- 1,893
Kuna watu wana bahati humu, wengine wakiweka matangazo yao ni kushambuliwa tu,lol
Maelezo ya manzi huwa yanaamua sana waume watarajiwa watayapokeajeKuna watu wana bahati humu, wengine wakiweka matangazo yao ni kushambuliwa tu,lol
Nakushauri nenda kwa Shekhe ama Ustadhi madrasa ya wanawake utapata mume haraka sana. Humu hakuna ndoa utapoteza muda wako tu. Njoo pm nikuuganishe na group la kiislamu kuoa na kuolewa. Kama unakuja kudanga huku sawa ila hakuna ndoa huku.Mimi ni binti wa miaka 30, muislamu, naishi Dar es Salaam, ni mwajiriwa wa sekta binafsi na ni mama wa mtoto mmoja nipo single nahitaji mwenza wa maisha ikiwa heri tuishi pamoja.
Sifa za mwenzi ninayemtaka
1. Awe na umri kuanzia miaka 32 na kuendelea.
2. Dini yoyote ila akiwa muislamu itapendeza zaidi.
3. Ajitegemee kiuchumi na awe na awe na mtazamo chanya kiuchumi.
4. Awe mwenye utu na ajue thamani ya upendo na awe tayari kwenye mahusiano.
5. Nitapendelea zaidi akiwa na mwili wankawaida na kimo Cha kawaida.
Bichwa kama flampeni,Baba wa mtoto yupo? Kama bahati mbaya alifariki kaburi lipo na je Cd au mkanda wa mazishi upo?
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣je Cd au mkanda wa mazishi upo?
Nakushauri nenda kwa Shekhe ama Ustadhi madrasa ya wanawake utapata mume haraka sana. Humu hakuna ndoa utapoteza muda wako tu. Njoo pm nikuuganishe na group la kiislamu kuoa na kuolewa. Kama unakuja kudanga huku sawa ila hakuna ndoa huku.
Acha makasiriko wewe lazima watu watake kujua ili baadae jimbo lisije leta mgogoroBichwa kama flampeni,
Hivi unaona kabisa ni maneno ya kuandika humu haya?
Rubbish, kichwani umebeba mende, wewe bila shaka ni mganga wa kienyeji.
Iringakwanza aliye serious atamhoji masuala kama hay PM, hakuna muaji hapo, ni kumchora dada wa watu, wewe unaweza anika taarifa za watu wako wakaribu waliofariki humu kisa swali la mtu mmoja?Acha makasiriko wewe lazima watu watake kujua ili baadae jimbo lisije leta mgogoro
Kumbe 😭Kuna watu wana bahati humu, wengine wakiweka matangazo yao ni kushambuliwa tu,lol
Acha makasiriko mzee tatizo la watanzania hampend maswali magumuBichwa kama flampeni,
Hivi unaona kabisa ni maneno ya kuuliza humu haya? Si uende PM?
Rubbish, kichwani umebeba mende, wewe bila shaka ni mganga wa kienyeji.
Mtoa mada ana wewe kua makini, kuna mwenzako naye juzi tuu hapa alikuja kulalamika, walitongozana humu kilichompata ndio malalamiko aliyoleta.
Rubish kabisaa, hujielewiAcha makasiriko mzee tatizo la watanzania hampend maswali magumu
Ndoa zipo sana tumia ushauli wako vizuri siyo kukatisha tamaa watu ndoa zipo sanaNakushauri nenda kwa Shekhe ama Ustadhi madrasa ya wanawake utapata mume haraka sana. Humu hakuna ndoa utapoteza muda wako tu. Njoo pm nikuuganishe na group la kiislamu kuoa na kuolewa. Kama unakuja kudanga huku sawa ila hakuna ndoa huku.
Mbona kama ni wewe umekuja kuufufua uzi wako?Kila lakheri
😀😀😀DahMbona kama ni wewe umekuja kuufufua uzi wako?