Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 12,594
- 17,720
Iko moja over2.5Hivi Tanzania kuna sector ambayo iko sawa kiutendaji?
Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Iko moja over2.5Hivi Tanzania kuna sector ambayo iko sawa kiutendaji?
Usalama wa taifa ni toilet paper ya ccmTukiongea kuhusu intelligence ya nchi tunaonekana siyo wazalendo NIDA ni sehemu sensitive lakini cha kushangaza ukiwa na laki4 au 5 kesho yake unaletewa kitambulisho chako mpaka nyumbani yani ata foleni ukai kuna wasomali na wakenya kibao wamekuja juzi tu sasa ivi wao na familia zao wanavitambulisho OG vya NIDA ..mwenzangu na mie utaambulia namba tu tena ni ya kusubiri baada ya wiki 2 .. kuna Wilaya Moja apa dar mkijiorganize watu kumi mkitoa 15k kila mmoja yani ile kufika Home jioni tayari upo kwenye system namba yako ya NIDA tayari ..TISS wapo kazi yao sijui ni nini kama NIDA inachezewa ivyo vipi uko sehemu nyingine.
Waburundi wasomali nk ccm niWenzenu wanatoa mpaka 1,000,000 ili wapate kitambulisho cha NIDA
Wako wanyarwanda kibao wanazo
Nchi imeoza rushwa ukiwa na hela chochote unakipata
Ova
Kwa hiyo 50 inaondoa Buguza?Ukienda na 50 wanaprint siku hiyo hiyo
ChapKwa hiyo 50 inaondoa Buguza?
Kama TISS ndio wamejaa NIDA basi nipende kusema kwenye nchi hatuna usalama serious..NIDA imejaaa TISS ila ndio hao hao wenye michezo hiyo
Hakika ni hatari kubwa. Na sasa mchezo umeigwa kwenye vyeti vya kuzaliwa. Utaratibu mpya wa kuvipata imekuwa fursa kwatendaji.NIDA imejaaa uhuni mwingi sana, Ulaghai na ujanja ujanja na kwa sasa wamewekeza sana kwenye Media. Diily wako kwenye media kuelezea mafanikio yao ambayo kiuhalisia hayapo zaidi ya Hadaaa tupu.
Taasisi imejaaa hadaaa sana ila cha ajabu inasifiwa na watawala nashindwa kukua wanasifiwa kwa lipi hasa.
Kwanza elewa kwa mgeni kuwa na kitambulisho sio kosa, sharti ajiandikishe kama mgeniNIDA imejaaa uhuni mwingi sana, Ulaghai na ujanja ujanja na kwa sasa wamewekeza sana kwenye Media. Diily wako kwenye media kuelezea mafanikio yao ambayo kiuhalisia hayapo zaidi ya Hadaaa tupu.
Raia wazawa waliojiandilisha 2018 wana namba pekee hadi sasa na kadi wanapigwa danadana hazija printiwa.
Cha kushangaza wageni wote wawe wanapewa vitambulisho vya ukaazi au vya uraia vya magumashi au vya halali ila wote wana vitambulisho na sio number.
Wahindi wote wana vitambulisho na sio number, wahamiaji haramu wana vitambulisho vya uraia na sio number.
Kuna raia mmoja ni Mkenya sijui alifanya fanya vipi akajiandilisha NIDA wanajua utaratibu wao wanao tumia kuwapa watu wasio raia Vitambulisho vya Uraia,Sasa huyo Raia amejiandikisha mwezi wa 6 mwaka huu,na tiyali ana kadi ya kitambulisho.ELewa kwamba kajiandikisha mwaka huu mwezi wa 6 ila NIDA wameisha mpatia kitambulisho.
Raia wanasafa tangia mwaka 2018 kadi zao hazijawahi printiwa.ila kuna watu wao wanakuja nyuma tena kagumashi na wanapewa kadi.
Sasa je raia wote na wao wanyoeshe mkono kwa stafu wa NIDA ili wapate kadi?
Taasisi imejaaa hadaaa sana ila cha ajabu inasifiwa na watawala nashindwa kukua wanasifiwa kwa lipi hasa.
Wale ni wahuni hasa ni bahati mnaya wanafumbiwa macho
Yes
Daahh, hili jibu ni sahihi sana.Wizi.
Yaani Bongo wageni kupigwa uraia ni inategemea na mfuko wako, kwa hawa maarufu kama wanamziki wa kongo sio rahisi.Ila wale wasio julikana wanapigwa sana UraiaInchi isiyothamini uraia wake..
Inakuwaje MGENI kupewa uraia kirahisj kiasi hicho?
Utakuww wewe ni mjinga,kwani mimi sielewu aina za vitambulisho? nazungumzia both ila sana Vitambulisho vya Uraia,Wageni wana vitambulisho vya uraia sio vya ukaazi.Kwanza elewa kwa mgeni kuwa na kitambulisho sio kosa, sharti ajiandikishe kama mgeni
Hizo nida zinge Rudi kwenye serikari za mitaa ingekuwa sawa hao wengine uizi tuNIDA imejaaa uhuni mwingi sana, Ulaghai na ujanja ujanja na kwa sasa wamewekeza sana kwenye Media. Diily wako kwenye media kuelezea mafanikio yao ambayo kiuhalisia hayapo zaidi ya Hadaaa tupu.
Raia wazawa waliojiandilisha 2018 wana namba pekee hadi sasa na kadi wanapigwa danadana hazija printiwa.
Cha kushangaza wageni wote wawe wanapewa vitambulisho vya ukaazi au vya uraia vya magumashi au vya halali ila wote wana vitambulisho na sio number.
Wahindi wote wana vitambulisho na sio number, wahamiaji haramu wana vitambulisho vya uraia na sio number.
Kuna raia mmoja ni Mkenya sijui alifanya fanya vipi akajiandilisha NIDA wanajua utaratibu wao wanao tumia kuwapa watu wasio raia Vitambulisho vya Uraia,Sasa huyo Raia amejiandikisha mwezi wa 6 mwaka huu,na tiyali ana kadi ya kitambulisho.ELewa kwamba kajiandikisha mwaka huu mwezi wa 6 ila NIDA wameisha mpatia kitambulisho.
Raia wanasafa tangia mwaka 2018 kadi zao hazijawahi printiwa.ila kuna watu wao wanakuja nyuma tena kagumashi na wanapewa kadi.
Sasa je raia wote na wao wanyoeshe mkono kwa stafu wa NIDA ili wapate kadi?
Taasisi imejaaa hadaaa sana ila cha ajabu inasifiwa na watawala nashindwa kukua wanasifiwa kwa lipi hasa.
Itachukua miaka kadhaaHivi Tanzania kuna sector ambayo iko sawa kiutendaji?
Wewe ndio mjingaUtakuww wewe ni mjinga,kwani mimi sielewu aina za vitambulisho? nazungumzia both ila sana Vitambulisho vya Uraia,Wageni wana vitambulisho vya uraia sio vya ukaazi.