Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,427
- 7,915
Ndugu wanalunyasi wenzangu, kwa pira lile la jana, yaani pira mawazo, wasiwasi, mashaka, bora liende, hemweluhemwelu, raha hakuna, pira dakika ziishe hatujazoea jamani.
Huyu Kocha ananini na Saidoo, Bocco, pamoja na Moses? Yaani eti ule uchezaji wa jana ndio tupangiwe Mamelod kwenye Super Cup? Tutayaoga dadeq!
Kwanini viongozi wa Simba wasimpe mapema timu mzee wa boli itembee ili tuepuke fedheha inayotunyemelea?
Sisi tumezoea pira biriani, udambwidambwi, minyamanyama, peleka moto, na pumzi ya kifo.
Niseme wazi, jana Yanga walijitakia wenyewe kupoteza Ngao yao mbele ya timu iliyojichokea ya Bocco na Ntibazooo.
Yaani kama vipi timu apewe Mgunda kabisa, sina imani na Robhaaati.
Huyu Kocha ananini na Saidoo, Bocco, pamoja na Moses? Yaani eti ule uchezaji wa jana ndio tupangiwe Mamelod kwenye Super Cup? Tutayaoga dadeq!
Kwanini viongozi wa Simba wasimpe mapema timu mzee wa boli itembee ili tuepuke fedheha inayotunyemelea?
Sisi tumezoea pira biriani, udambwidambwi, minyamanyama, peleka moto, na pumzi ya kifo.
Niseme wazi, jana Yanga walijitakia wenyewe kupoteza Ngao yao mbele ya timu iliyojichokea ya Bocco na Ntibazooo.
Yaani kama vipi timu apewe Mgunda kabisa, sina imani na Robhaaati.