Huu uongo wa Simba wanakusema kuwa "all tickets sold out" utaisha lini?

Leo lengo limegeuka sio kujaza Uwanja tena kama ilivyokuwa Simba Day bali ni mapato?
Unapouza tiketi lengo ni kukusanya mapato. Simba day ni tofauti na ile mechi ya ufunguzi yenye viongozi wa kidunia pale. Hata gharama za maandalizi hazifanywi na simba kama ilivyo simba day. Sio siku ya simba ile.
 
Unapouza tiketi lengo ni kukusanya mapato. Simba day ni tofauti na ile mechi ya ufunguzi yenye viongozi wa kidunia pale. Hata gharama za maandalizi hazifanywi na simba kama ilivyo simba day. Sio siku ya simba ile.
Mbona unajichanganya
 
Unapouza tiketi lengo ni kukusanya mapato. Simba day ni tofauti na ile mechi ya ufunguzi yenye viongozi wa kidunia pale. Hata gharama za maandalizi hazifanywi na simba kama ilivyo simba day. Sio siku ya simba ile.
Kwa hiyo Simba Day hamkuuza tickets mlitoa bure?
 
Mtatafuta kila sababu lakini wenye akili tunasema kuwa hakukuwa na sold out wala taratibu za FIFA,tuliokuwa Uwanjani tulishuhudia ilipofika saa kumi na moja kasoro kulikuwa na fungulia Mbwa ya kufa mtu,yeyote aliekuwepo maeneo ya nje ya Uwanja alilatakiwa aingie ndani apende asipende.
Weka kavideo kaushahidi...kama hauna kavideo jitukane tusi kubwa kuliko yote.
 
Hii ndio sababu ilinifanya nisiende uwanjani, siku ya Simba day nilizuiwa nikiwa na tiketi wakasema uwanja imejaa.
Safi sana. U-nyumbu siku zote unastahili kufanyiwa hivi. Vijana kwa wazee, wake kwa waume, nchi nzima imetekwa kimawazo inashabikia mpira huku raslimali za nchi zinapigwa.... Na hapa sisemi watu wasishabikie mpira kwani hata mimi ni mshabiki, ila nakataa ule ujinga wa CCM kutumia wafanyabiashara maponjoro wakuja kupumbaza wananchi wabaki ''wanachezea'' mpira kama mtoto mdogo wanapopewa mdoli huku mafisadi wakifanya yao..
 
UJINGA ni KIPAJI.

Bora Muwe mnatutag TUNAWAFUNDISHA.


IPO Hivi...
Simba waliuza Tikert zoooooteeeee.

Baadhi ya Ticket zilinunuliwa na Walanguzi.

Mtu mmoja ananua tiketi 100@7000
LENGO lake ni kwenda kuziuza kwa 15000/=

WATU WALIPOSIKIA SOLD OUT WAKAOGOPA KWENDA KUNUNUA KWA WALANGUZI WAKIHOFIA TIKETI FEKI.

CHUKUA HIYO
 
Lengo ni mapato.

Boss kama lengo ni kujaza tu watu si unasema ni bure watu wanajaa.

Ukitaka kuhakiki kama tiketi zote ziliuzwa unahakiki taarifa za mapato.
Kama lengo ni mapato, kwanini huwa mnawasema Yanga endapo mataasisi zikinunua tiketi kwa ajili ya mashabiki?
 
Jana tumeshuhudia kwa macho yetu Uwanja ukiwa mtupu maeneo mengi na hata baada ya ile fungulia Mbwa ya saa 11 jioni ili watu wajaze Uwanja but still Uwanja haukujaa.

Ahmed Ally na viongozi wako wa Simba hizi janja janja na utoto wa kizamani wa kudamganya Uma kuwa all tickets sold out mnapata faida gani.

Vile vile nyie wachambuzi uchwara mliokuwa mnalaumu viongozi wa Yanga kwa kuweka kiingilio kikubwa 10k ndio sababu Uwanja kutokujaa vipi jana kiingilio cha 7k nacho ni sababu. Tunawasubiri mje kuongelea hili swala la fungulia Mbwa.

What if watu walinunua na wakapata dharula hawakwenda ?
 
Kuna mwenye akili yupo yanga au wewe ni kati ya wale wawili
Mtatafuta kila sababu lakini wenye akili tunasema kuwa hakukuwa na sold out wala taratibu za FIFA,tuliokuwa Uwanjani tulishuhudia ilipofika saa kumi na moja kasoro kulikuwa na fungulia Mbwa ya kufa mtu,yeyote aliekuwepo maeneo ya nje ya Uwanja alilatakiwa aingie ndani apende asipende.
 
Utopolo wamenunua ticket elfu Tano alaf hawajaenda uwanjani Ili tufedheheke
 
Mauzo ni jambo moja, kuingia ni jambo jingine ndugu.
Waipendao Simba wanaweza lipia kuchangia Timu na wasiende uwanjani.
Pia, kuna kuchelewa.
 
Utopolo bhana 😂 kwa taarifa yenu hapakuwa na fungulia mbwa, ile mechi inasimamiwa na CAF na FIFA usidhani kuna uhuni kama kwenye ligi. Siku sio nyingi viti vyote vitakuwa na namba sawa na kwenye tiketi.
 
Jana tumeshuhudia kwa macho yetu Uwanja ukiwa mtupu maeneo mengi na hata baada ya ile fungulia Mbwa ya saa 11 jioni ili watu wajaze Uwanja but still Uwanja haukujaa.

Ahmed Ally na viongozi wako wa Simba hizi janja janja na utoto wa kizamani wa kudamganya Uma kuwa all tickets sold out mnapata faida gani.

Vile vile nyie wachambuzi uchwara mliokuwa mnalaumu viongozi wa Yanga kwa kuweka kiingilio kikubwa 10k ndio sababu Uwanja kutokujaa vipi jana kiingilio cha 7k nacho ni sababu. Tunawasubiri mje kuongelea hili swala la fungulia Mbwa.
Uwanja ulijaa na hakukua na kiti wazi.

Utakufa mtu km huyu yuko newala analima mhogo ndiye anapost vioja hivi.

Hakuna namna ya kuishusha Simba ukitaka Ni kupambana TU uwe na brand kubwa km Simba.

Umbea uzandiki utasidia Nini. Hii mechi haikuchezwa chumbani au sebuleni kwako.
 
Back
Top Bottom