R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,151
John Bocco kwanini apate nafasi , halafu kina Chilunda wakose nafasi ? Kwaninii kina Onana wapate nafasi halafu kina Mohammed Mussa wakose ? Mbona Yanga anatoka Aziz Ki anaingia Zawadi Mauya ?
Hiki ndicho kinasababisha hata wachezaji kupigana misumari , hiki ndiyo kinasababisha wachezaji kuwa na makundi kambini , kwa style hii ni lazima kuwe na kundi la kina Duchu kina Kenedy , Kina Jimmyson mwanuke na Kundi la kina Chama , Miquissone , mwisho wa siku hawa ambao hawapati namba wanaonekana si chochote
Ni tofauti kwa watani, hata kina Crispin Ngushi wanavyopata namba na kina Mkude wanavyopisha wengine wacheze ni lazima waishi kwa ushirikiano na kuwa na juhudi ya mazoezi, hii ndiyo football ilivyo , Hakuna mchezaji anayesugua bench msimu mzima jamani (Jimmyson) na mchezaji huyo huyo aliyesugua Bench mkambakiza tena means kama mmembakiza mshaona anakitu why asipate nafasi ?
Acheni Mambo zenu , wapeni wengine nafasi waoneshe uwezo wao , Pengine mwisho wa siku baada ya kuona uwezo wao tutakuja kugundua Chilunda ni Bora kuliko Onana , Bocco anapataje nafasi mbele ya Mohammed Mussa ? Hapa ndipo naamini Uchawi upo
Kila siku Mohammed Hussein , Kapombe , watapataje Confidence za matches hawa kina Mwenda ?
Moses Phir kukosa nafasi tulipiga sana kelele hii ni kwamba wengi tunaamini ana uwezo , Haya vipi kuhusu Mohammed Musaa ? mbona hatuongei kwamba bwana mdogo hafai ?
Naumia sana kuona Vipaji vikubwa hivi vinafia Simba sc Wallah , Naumia mnooo ndiyo maana niliwaambia nitarekodi video hapa naandika lakini roho inaniuma sana BOCCO ANAANZA halafu Chilunda anakosa nafasiiiiii jamani kweli ?
Hao hao Mashabiki Wa simba wanasema Banda apewe muda , lakini ukiwaambia Chilunda apewe muda hawataki 😀
Naamini maneno ya Okwa Simba coach anapangiwa wachezaji wakucheza , wewe uliona wapi msimu mzima wachezaji ni wale wale tu ?
Hiki ndicho kinasababisha hata wachezaji kupigana misumari , hiki ndiyo kinasababisha wachezaji kuwa na makundi kambini , kwa style hii ni lazima kuwe na kundi la kina Duchu kina Kenedy , Kina Jimmyson mwanuke na Kundi la kina Chama , Miquissone , mwisho wa siku hawa ambao hawapati namba wanaonekana si chochote
Ni tofauti kwa watani, hata kina Crispin Ngushi wanavyopata namba na kina Mkude wanavyopisha wengine wacheze ni lazima waishi kwa ushirikiano na kuwa na juhudi ya mazoezi, hii ndiyo football ilivyo , Hakuna mchezaji anayesugua bench msimu mzima jamani (Jimmyson) na mchezaji huyo huyo aliyesugua Bench mkambakiza tena means kama mmembakiza mshaona anakitu why asipate nafasi ?
Acheni Mambo zenu , wapeni wengine nafasi waoneshe uwezo wao , Pengine mwisho wa siku baada ya kuona uwezo wao tutakuja kugundua Chilunda ni Bora kuliko Onana , Bocco anapataje nafasi mbele ya Mohammed Mussa ? Hapa ndipo naamini Uchawi upo
Kila siku Mohammed Hussein , Kapombe , watapataje Confidence za matches hawa kina Mwenda ?
Moses Phir kukosa nafasi tulipiga sana kelele hii ni kwamba wengi tunaamini ana uwezo , Haya vipi kuhusu Mohammed Musaa ? mbona hatuongei kwamba bwana mdogo hafai ?
Naumia sana kuona Vipaji vikubwa hivi vinafia Simba sc Wallah , Naumia mnooo ndiyo maana niliwaambia nitarekodi video hapa naandika lakini roho inaniuma sana BOCCO ANAANZA halafu Chilunda anakosa nafasiiiiii jamani kweli ?
Hao hao Mashabiki Wa simba wanasema Banda apewe muda , lakini ukiwaambia Chilunda apewe muda hawataki 😀
Naamini maneno ya Okwa Simba coach anapangiwa wachezaji wakucheza , wewe uliona wapi msimu mzima wachezaji ni wale wale tu ?