je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,907
- 3,653
@technically ebu acheni kujitoa akili basiWaliopo benchi ni zaidi ya waliopo kikosini.
Kila namba ina wachezaji wawili top top class !!! wenye uwezo unaofanana na kukalibiana!!
Imagine ni lini yanga ilikuwa na wachezaji wenye passion ya kucheza kwa kujitoa toka yanga ianzishe kama mwaka huu?
Kwangu mimi hii ndio timu bora ya muda wote toka mwaka 1935.
Yan kuifunga timu inayoburuza tela ndio mnasema hii ndio yanga imara KULIKO.???????
Kumbe manara alikuwa sahihi kusema wenye akili ni wawili pale