Search results

  1. Z

    Naomba kujua jinsi ya kuwa wakala wa rangi za nyumbani

    Habarini wadau, Samahani nilikuwa naomba kujua jinsi ya kuwa wakala wa rangi za majumbani, je ni vigezo gani mtu anatakiwa kuwa navyo, na kiasi gani mtu anatakiwa kuwa nayo ili awe wakala wa rangi za majumbani. Nipo mkoani Dodoma nawasilisha hoja hii kwenu wadau.🙏🙏🙏
  2. Z

    Kuwa wakala wa rangi za majumbani

    Habarin wadau,samahani nilikuwa naomba kujua jinsi yakuwa wakala wa rangi za majumbani,je ni vigezo gani mtu anatakiwa kuwa navyo,na kiasi gani mtu anatakiwa kuwa nayo ili awe wakala wa rangi za majumbani,nipo mkoan dodoma nawasilisha hoja hii kwenu wadau.🙏🙏🙏
  3. Z

    INAUZWA Pata misumari ya bati ya rangi kwa bei poa kabisa

    Bei-6500 kwa PC1Location-Dodoma, Michese mtaa wa kona. Pia ukihitaji ya rangi zingine kam blue, gree Namba yangu ni 0653426046 karibun wadau
  4. Z

    Naomba ushauri kuhusu biashara ya vifaa vya umeme kwa bei ya jumla, kwa Dodoma Mjini

    Habarini ndugu zangu, Nilikuwa nina wazo la kutaka kufungua hardware kwa mkoa wa Dodoma, sehemu ya mkonze,Bje kwa mtaji wa mill 3 unaweza nikafanikisha hii biashara maan nilikuw nataka nispecialize kwenye hivi vitu kimoja wapo ndio nianze nacho (i)Cement, misumari, binding wire, kench wire...
  5. Z

    Nataka kusoma kozi ya civil draught VETA

    Habari za mchana ndugu zangu, Baada ya hizi changamoto za ajira nimeona ni bora niende VETA nikawe hata na fani maana nina diploma ya utawala, sasa nimeona ni bora niende hata VETA nikapige level 1 had 2 ikibidi kwa kozi ya civil draught kuliko kwenda degree. Ndugu zangu naombeni ushauri je...
  6. Z

    Ni short course gani ambayo ni nzuri na ipo katika soko kwa sasa?

    Habarin wadau, Nimehitim diploma ya mambo ya utawala, sasa niliona nipige hata short course kutokana na changamoto za ajira,nilikuw nauliza je hii short course ya civil drafting ukiachana na chuo cha veta cha Dar es Salaam je kwa upande wa Dodoma nao pia wanatoa? Msaada wadau kwa anaejua
  7. Z

    Msaada wa kuhusu bacherol of science in real estate finance and envestment

    Mimi ni kijana niliyemaliza form 6 mwaka 2019 nakupata DIV 2 kwa combination ya EGM nilikuw naomba msaada wenu kuhus hii koz inahusian n nin,pia kweny kuajiria unaweza kupiga kampuni kama zipi pia kweny kujiajiri wew kam ww unaweza kupiga issue kam zipi.Nawasilisha hoja kwenu wadau n mm ndio...
  8. Z

    Join instruction za Vyuo vya Serikari vya Afya

    Nilikuwa naomba mnijuze kuhusu Join Instruction za Kozi za Afya kwa Vyuo vya Serikari, je vipi zimetoka au bado kwa anayejua naomba anijuze maan na dogo langu amechaguliwa Chuo cha Afya Kibaha. Pia, nikiangalia kwenye account yake ya NACTE uthibitisho naona hamna kipya asee.
  9. Z

    Kafaulu Form 4, kachaguliwa kwenda Chuo. Je, anaweza kufadhiliwa na Serikali kwa ada na malazi?

    Habarini wadau, Nina dogo langu alimaliza form 4 mwaka jana na kupata division 1 ya 14, amechagulia chuo cha Kibaha kwa kozi ya Clinical Medicine na Tamisemi. Swali langu ni kuwa je, kwa hiki chuo anaweza kupata ufadhili kutoka serikalini kwenye issue za ada pamoja na malazi?
  10. Z

    Selection ya Form 5 na chuo huwa ni mwezi gani?

    Habarini wadau, nina mdogo wangu amepata div I ya 14 pass ni kama zifuatazo: Civ - B Kiswa - B Hist - C Geo - C Engl - B Engl in Literature - C Phy - C Chem - B Bios - A Math - B Dogo hataki kwenda Form V, anataka kwenda chuo moja kwa moja kwa kozi za afya. Je yupo sahihi wadau au...
  11. Z

    Zoezi la pull over,kurefusha mwili.

    Habarini wadau,hivi n kweli kuwa zoezi la pull over linarefusha mwili,yaan mtu akiwa mfupi akipiga hili tizi anarefuka vizuri tu.
  12. Z

    Hivi hii kozi ya urban and regional planning ndio ikoje?

    Inakuaje wadau,nilikuwa ninauliza hivi hiv hii koz ya urban and regional planning ndio ikoje,na je vipi kweny ishu za ajira kwa koz hii n changamoto au inakuaje.
  13. Z

    Msaada wadau kuhusu kusoma kozi ya ICT

    Habarin,wadau mm ni mwanafunzi niliyemaliza form IV mwaka juzi nilikuwa ninatak kusom koz ya ICT kwa ngaz ya cheti,ila kuna kitu kinanitatiza maan kuna watu wananiambia hii koz n yeboyebo,watu wengi usihisome utaishia mtaani,naomben ushauri ndugu zangu. Form iv nilipata hiv: Civ-D...
Back
Top Bottom