Habari ya asubuhi wakuu,
Nahitaji msaada wenu tafadhali, naomba kufahamishwa chuo kinachotoa kozi ya clinical medicine kwa ngazi ya cheti.
Mazingira ya chuo ni lazima kiwe Dar es Salaam pia ni bora zaidi ikiwa wilaya Kinondoni/Ubungo
(Mbezi beach)
Wadau Habari zenu, Mimi ni kijana wa kiume Nina umri wa miaka 18-22 nimekuwa nikisumbuliwa na maradhi mbali mbali, typhod, malaria ,tumbo kujaa gesi , kutokupata choo, mwili wote unauma na maradhi hayo yamekuwa yakinisumbua mara kwa Mara, ni muda sasa na nimekuwa sina utendaji mzuri ktk shughuli...
Habari zetu wadau. habari za siku nyingi, Nimeleta kwenu
maada inayonitesa na kunihangaisha kwa muda mrefu sasa. Nimekuwa nikiugua typhody + malaria kila mara pasipo kupona kabisa na ninafuata kanuni zote za matumizi ya dawa za typhody na nipo makini sana na matunda pamoja na maji yasiyo chemshwa.
Ninaomba msaada wa ngozi ya usoni kuna vipele mfano wa chunusi ndogondogo huwa vinaibuka na kupotea, Bt pale vinapo ibuka huwa vinawasha sana. msaada tafadhari.
Ninaomba msaada wa ngozi ya usoni kuna vipele mfano wa chunusi ndogondogo huwa vinaibuka na kupotea, Bt pale vinapo ibuka huwa vinawasha sana. msaada tafadhari.
Ninaomba msaada wa ngozi ya usoni kuna vipele mfano wa chunusi ndogondogo huwa vinaibuka na kupotea, Bt pale vinapo ibuka huwa vinawasha sana. msaada tafadhari.
mada hii sio uongo wala utani, chumba kinapangishwa kipo ndani ya fensi kina hadhi ya kuitwa chumba pia kina geti la griri mlango wa kuingilia. gharama yake kwa mwezi ni bei ndogo sana na mtanzania mwenye kipato kidogo anaweza kupangishwa. na ni maeneo ya MBEZI BEACH ukishuka kituo cha makonde...
habari zenu wadau! wazima? Wadau mimi kilicho nifanya niwasabahi asubuhi asubuhi hii. JE SITI MOJA KUKATIWA TIKETI ZAIDI YA MARA MBILI NI TATIZO GANI? tatizo hili limenikumba asubuhi hii.
Habari zenu wakubwa! Ebana mada iliyonifanya niilete mbele yenu ni inagusa watoto wengi wa maskini ndani ya nchi hii. Je wadau ninaomba kujua na kuelewa utaratibu mzima wa watu wanaofanya mtihani wa 4m four kama resiters, na pia maksi zao za ufaulu upambanuo wake uko vp? Maana suala hili ni zito...
Wadau mimi ninajambo ambalo mwenzenu nashindwa kulifafanua na kulipatia ufumbuzi suala lifuatalo, Nina girl friend wangu anapenda sana kuchukua kitu chochote kizuri atakacho niona nacho, mfano juzi kati kuna cm mpya nilinunua alichokifanya aliomba atumie kwa muda, licha ya kuwa ana cm yake...
Napenda kuwashukuru sana wadau wote walio changia mada yangu na wale ambao hawakubahatika kuchangia mnamo mwezi AGOSTI, ushauri wenu na mawazo yenu niliyazingatia na kuyafanyia kazi kwa ipasavyo. But nimerudi na muendelezo wa topic mpya kama sio mpya kwani ni kama mwendelezo. Yule girl...
Ni miezi kadhaa imepita toka niachane na huyo msichana, nilimpenda sana lakini yeye hakuonyesha ushirikiano juu ya pendo langu kwake, kwani alifanya chocho alichojisikia akijua kuwa sita kuja kumwacha. Hakupenda kuongea na mimi kwenye cm wakati wa usiku na mchana pia wakati mwingine, ila mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.