Chumba kinapangishwa hapa

Sajunne

Senior Member
Jul 19, 2011
104
58
mada hii sio uongo wala utani, chumba kinapangishwa kipo ndani ya fensi kina hadhi ya kuitwa chumba pia kina geti la griri mlango wa kuingilia. gharama yake kwa mwezi ni bei ndogo sana na mtanzania mwenye kipato kidogo anaweza kupangishwa. na ni maeneo ya MBEZI BEACH ukishuka kituo cha makonde sio mbali kutoka pale.Kwa maelezo zaidi fika banda beach shopping centre, au 0717231333
 
Sajunne,
Ungetuwekea Picha na Bei


mada hii sio uongo wala utani, chumba kinapangishwa kipo ndani ya fensi kina hadhi ya kuitwa chumba pia kina geti la griri mlango wa kuingilia. gharama yake kwa mwezi ni bei ndogo sana na mtanzania mwenye kipato kidogo anaweza kupangishwa. na ni maeneo ya MBEZI BEACH ukishuka kituo cha makonde sio mbali kutoka pale.Kwa maelezo zaidi fika banda beach shopping centre, au 0717231333
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom