Sajunne
Senior Member
- Jul 19, 2011
- 104
- 58
Wadau Habari zenu, Mimi ni kijana wa kiume Nina umri wa miaka 18-22 nimekuwa nikisumbuliwa na maradhi mbali mbali, typhod, malaria ,tumbo kujaa gesi , kutokupata choo, mwili wote unauma na maradhi hayo yamekuwa yakinisumbua mara kwa Mara, ni muda sasa na nimekuwa sina utendaji mzuri ktk shughuli zangu mbali mbali. Msaada tafadhari ninaamini nitapata ufumbuzi.