Waungwana:
Unlike mashirika mengine ya Umma na ya binafsi, sisi huku NSSF huwa hatuna makuu. Team yetu inaitwa TEAM RESULTS ORIENTED.
Tumesema Tunajenga Daraja la Kigamboni (wana kigamboni wanaliita la Daraja La Dau) ushahidi huu hapa chini:
Tumesema kuwa Kigamboni tunajenga sattelite...
Mfuko bora na wenye mafao mengi zaidi na wenye kufanya miradi mingi yenye tija kwa Taifa na wanachama wake wa NSSF umefanya 'soft opening' ya kuwa mfuko wa kwanza kuwa na YOUTUBE channel ambayo itakuwa na option ya LIVE STREAMING ya matukio mbalimbali yanayohusu NSSF
NSSF inaomba kama mtaweza...
Hii haihusini na thread ta Viwanja . Maswali na mambo mengi ambayo mlitaka kuyajua juu ya NSSF kaelezea juu ya :
UMEME PROGRESS
DARAJA LA KIGAMBONI
MICHANGO AMBAYO INAKUSANYA SASA HIVI
INVESTMENTS
DIASPORA
Mengi yanasemwa na inavyoonekana ni kuwa wengi pia wana maswali zaidi sasa naomba mlio na maswali yenu (Kuhusu Daraja la kigamboni tuu) leteni nami nitajitahidi kuwajibu na kuwaweka sawa kwa kadri ya uwezo wangu. Pale ambapo nitakuwa sina data za papo kwa hapo basi nitaomba muda ili nizilete...
Jamani naomba mniwie radhi kwa kuharibu moods zenu lakini PCCB wanasema hivi kuhusu NSSF:
The least corrupt institutions are the National Social Security Fund (NSSF), Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) and the banking sector.
Source PCCB report page 13
lakini PCCB...
GREAT THINKERS, Leteni maswali na hoja zenu. Kama mkileta na supporting evidence nadhani tutakuwa tuko mstari sambamba.
Mods na Admin naomba muwe ma referees pale ambapo matusi yatakapoanza
Napenda kujitambulisha rasmi na nategemea tutakuwa na mijadala ya maana zaidi ambayo italenga kujenga na sio kubomoa na wala haitokuwa na kudhihakiana wala kutukakana wala personal attacks
Kama kutakuwa na mtu ana data za kuback up arguments zake tafadhali naomba aje tuzichambue pia kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.