inamaana kulikuwa na ulazima wa kuvaa kiswahili namna hii?
Amakweli mdharau asili yake ni mtumwa, sasa we ulitaka avae suti ili iweje?... Kanzu, koti na balagashia ni vazi rasmi, na linatambuliwa hata na bunge letu kama ni vazi rasmi.
inamaana kulikuwa na ulazima wa kuvaa kiswahili namna hii?
[8.JPG[/IMG]
kanzu,koti na balaghashia asili yake wapiAmakweli mdharau asili yake ni mtumwa, sasa we ulitaka avae suti ili iweje?... Kanzu, koti na balagashia ni vazi rasmi, na linatambuliwa hata na bunge letu kama ni vazi rasmi.
[h=4]Topic Information[/h]There are currently 4 users browsing this thread. (2 members and 2 guests)
........
nAONA BORA mwakani NSSF ijitoe then iwaachie hao wengine kama akina PPF na BOT nafasi ili wabahatishe
Sema iwaachie PPF LAPF, BIma ya afya na hayo mashrika yenye FFFF. sasa BOT unaishindansiha na NSSF kwa kitu gani. Sura ya tovuti.? mambo ya kushindanish achungwa na embe mwisho utaigiza na Ikulu humo
I think inabidi waende level ya east africa na africa kama hawafai kulinganishwa na wenzao
kanzu,koti na balaghashia asili yake wapi
Asili yake kwenye ma sinagogi ya wakati wa Yessu.kanzu,koti na balaghashia asili yake wapi
NSSF wanatumia fedha nyingi sana kuhonga ili waonekane ni bora lakini sisi wanachama wa NSSF tunajua kuwa huduma zinazotolewa huko ni mauzauza.
Ushindi huu wameupata kwa lipi wakati huduma zao ni uchwara mtupu. Tusidanganyane hapa.