MrNSSF
Senior Member
- Mar 17, 2011
- 136
- 73
Mengi yanasemwa na inavyoonekana ni kuwa wengi pia wana maswali zaidi sasa naomba mlio na maswali yenu (Kuhusu Daraja la kigamboni tuu) leteni nami nitajitahidi kuwajibu na kuwaweka sawa kwa kadri ya uwezo wangu. Pale ambapo nitakuwa sina data za papo kwa hapo basi nitaomba muda ili nizilete.
Natumai tutakuwa na mjadala wenye mtiriko mzuri na wa heshma.
Akhasanteni.
Natumai tutakuwa na mjadala wenye mtiriko mzuri na wa heshma.
Akhasanteni.