Tunauza na kusambaza dawa/tiba asili ya homa, mafua na matatizo ya mfumo wa upumuaji (COVIDOL) Tshs 25000, pamoja na dawa Lishe kwa ajili ya mafua makali na kikohozi kikavu (NIMRCAF) Tshs 15,000 na dawa aina ya BUYEGI Tshs 20000 kwa jumla na reja reja. Tunafanya delivery kwa mikoani na nje ya...
Habari zenu wapendwa?
Naombeni msaada, mimi ni mfugaji wa Kuku wa nyama namshukuru Mungu najitahidi na napata matokeo mazuri Kuku ni wakubwa wanaridhisha,
Tatizo langu ni kupata soko zuri/wateja Naombeni msaada wenu ktk mbinu au njia nzuri yakupata wateja nakum maintain uyo mteja nisimpoteze...
Ni mafuta yenye kinga na virutubisho vingi mwilini, kwa walioko Kagera - Bukoba, ni Talent Shop mtaa wa Mafumbo. kwa mawasiliano zaidi piga number 0754-766029. Karibuni mpate elimu na maelekezo zaidi juu ya bidhaa asilia ya Kitanzania
wapendwa wana jf, natumai mnaendelea vyema na poleni na majukumu. Napenda kuwashukuru wana jf wote waliyo niunga mkono ktk biashara yangu ya mayai ya kuku wa kienyeji, Nimefarijika sana na nawakaribisha wote, mayai yapo mengi tuu na pia wale wahitaji wa modem na simu zipo. Karibuni sana
Jamaa alikuwa kasafiri akaenda guest house
kumpunzika kufika aka amua amtumie masseji
mke wake kumbe alikosea namba ika enda kwa
mwanamke alie toka kufiwa na mume wake siku
mbili zilizo pita yule mwana mke mjane alivyo
isoma ile meseji aka zimia ghafla mtoto wake akaja kamkuta mama yake kazimia...
Habari wana JF? nawakaribisha kununua bidhaa nzuri na za bei nafuu kwaajili ya mawasiliano ambazo ni
· Modems K 3570/3571 @ 25,000/=
· Modems K 3565@ 35,000/=
· Nokia 1280 @ 33,000/=
· Vodafone 858(smart phone)@ 195,000/=
· Vodafone 351 @ 55,000/=
· ZTEs 502 @ 19,000/=
Kwa maelezo zaidi piga...
Hi wana Jf!
Nina jambo linanitatiza jamani, vijana wa sikuizi wamekuwa na tabia kutaka vitu ambavyo tiyari vimesha garamikiwa na wenzao, naomba nitoe mfano mmoja uliyo hai, kijana mmoja alimpata msichana akamwambia anataka aende kwa msichana huyo akapafahamu anapo ishi, dada alikataa lakini boy...
Habari wana JF, nafurahi kuwa nanyi hapa Waxn waxn jaman wenzangu , unakuta mtu anaondoka anaenda saloon kufaya waxn, Ananyolewa nyele mikononi , miguuni na hata sehemu za siri. Mtu unavua nguo unaonesha sehemu zako za siri na zinashikwa shikwa eti ili unyolewe vizuri na kitaalamu zaidi...
Habari wanaJF, kuna kampuni moja kubwa kwa jina hapa Tanzania na muhimu katika nchi yetu. Cha kushangaza ni kwamba tangu watuwaajiriwe hawaja sign contract.
Pili malipo kwa mwezi ni 105000Tsh tu. Na wanalipa kwa cammission, kazi ni ngumu kwani wawezapata wateja hata 600 kwa mwezi but wakiondoa...
Natafuta kazi, nimesomea Maendeleo ya jamii jinsia na watoto, hivyo nina Diploma ya Community Development, Gender and children. Pia nina certificate ya computer katika program publishe,M/S word
M/s power point
M/s exel etc
naombeni msaa wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.