Hi wana Jf!
Nina jambo linanitatiza jamani, vijana wa sikuizi wamekuwa na tabia kutaka vitu ambavyo tiyari vimesha garamikiwa na wenzao, naomba nitoe mfano mmoja uliyo hai, kijana mmoja alimpata msichana akamwambia anataka aende kwa msichana huyo akapafahamu anapo ishi, dada alikataa lakini boy akang"ang"ania anataka apafahamu bila kusita dada akamruhusu na alifika akapaona ila akaonesha kutokuwa na uso wa furaha bahati nzuri dada akawa anamchunguza tabia na akagundua boy yule anatembea na mke wa mtu na amezoea kulelewa hivyo akategemea binti atamlea, badaye akaanza kumuomba ela mara kwa mara na vitu vya thamani. Dada akawa hana na baadae kijana akasitisha kumtafuta yule dada kila alipokuwa akimpigia akawa mara hapokei simu, na akipokea anadai yuko kwene kikao mwisho dada akaacha kumtafuta.
Je ni nini kinapelekea hata kakazetu wanakuwa na tabia hii, je nini kinapelekea wadada wanakuwa na tabia hii?? Wanapenda vitu ambavyo ni allready made na wengine na akikukuta huna anachapa mwendo. Je mtu wa tabia hii anaupendo wa dhati kweli?? Nawasilisha
Nina jambo linanitatiza jamani, vijana wa sikuizi wamekuwa na tabia kutaka vitu ambavyo tiyari vimesha garamikiwa na wenzao, naomba nitoe mfano mmoja uliyo hai, kijana mmoja alimpata msichana akamwambia anataka aende kwa msichana huyo akapafahamu anapo ishi, dada alikataa lakini boy akang"ang"ania anataka apafahamu bila kusita dada akamruhusu na alifika akapaona ila akaonesha kutokuwa na uso wa furaha bahati nzuri dada akawa anamchunguza tabia na akagundua boy yule anatembea na mke wa mtu na amezoea kulelewa hivyo akategemea binti atamlea, badaye akaanza kumuomba ela mara kwa mara na vitu vya thamani. Dada akawa hana na baadae kijana akasitisha kumtafuta yule dada kila alipokuwa akimpigia akawa mara hapokei simu, na akipokea anadai yuko kwene kikao mwisho dada akaacha kumtafuta.
Je ni nini kinapelekea hata kakazetu wanakuwa na tabia hii, je nini kinapelekea wadada wanakuwa na tabia hii?? Wanapenda vitu ambavyo ni allready made na wengine na akikukuta huna anachapa mwendo. Je mtu wa tabia hii anaupendo wa dhati kweli?? Nawasilisha