Jamani naomba kupata maelekezo kuna uwezekano kwa mzazi kumchukulia mtoto wako cheti chake cha form four au six kama yeye mwenyewe hayupo nchini na nina documents zote zinazoonyesha hayupo.
Cheti original kinahitajika chuoni alipo. Je, kuna uwezekano wa mzazi kukichukuwa? Na je, utaratibu...
Niko naangalia CNN nikaanza kutafakari mambo mengi kimoja nikavutiwa na uchaguzi wa Marekani huku nikifuatilia kwa makini mijadala ya uraisi wa Marekani.
Lakini navutiwa na mwenendo wa sasa ambapo soon wanawake wanakuja juu kwa kasi kutawala mataifa makubwa duniani.Hilary Clinton akishinda...
Habari zenu wakuu!huwa nasikitika sana kila wakati nikiwa napita hapa maeneo ya Victoria unamkuta mtu kakaa katikati ya barabara huku akiomba na pia inaonekana ana matatizo ya akili.
Je hakuna mamlaka zinazousika kuakikisha usalama wake !na waendesha Magari!
Mimi kama mzazi kama kuna wahusika...
Jamani natafuta wale wenye sifa zifuatazo ili angalao week end hii nipate wakutoka nao.
Kwanza awe ana 'JF Bronze' au 'JF Gold' awe mwenye jinsia tofauti na mimi.Ni urafiki wa kawaida tu na si vinginevyo.
Bili tunashea kwa sababu nimegundua hawa niliowataja hapo juu wanajiweza sana mpaka...
Jamani wenye taarifa ya maji kupatikana Dar kwa wakazi wa Tegeta,Mbezi beach Mwenge mpaka Town .Tunaomba kujua jamani kwani hali mbaya sana huku majumbani kwetu hasa sisi akina mama.
Jamani nimekuwa naota Fangasi juu ya unyayo,vinaota vipele vidogo vinakuwa kama na maji ndani na baada
ya muda zinapasuka na kusambaa kwenye mguu.Nimejaribu kila aina ya dawa ya kupaka hata kuvaa viatu vya wazi
lakini bado vinakuja na kupona.Nimeenda kwa specialist mbalimbali wa magonjwa ya...
Wrong !!!
there is something
you can do !!!,*Use PANTHER, By using
panther u can save up to 30% on your fuel
consumption.Just plug it on your car
cigarette lighter socket and enjoy more
power and less fuel consumption for your car.
Panther uses Japanese Micro Fuel Optimizing...
Jamani mgao wa umeme bado upo?mbona Mvua
zinanyesha nchi nzima!Jamani mi mbona
sielewe kwani maeneo ya Mbezi beach leo
siku ya pili hatuna umeme kuanzia kati
ya saa kumi mpka saa tano.Kuuliza ni
Mgao Je mabwawa hayajaja maji!mm
hii kali wakati masika yameanza nchi
nzima?
KUNA mdau mmoja ambaye ni mwanamke anajaribu kuongea na Fc huku akiomba jambo analotaka kushiriki na sisi tusimpuuze kwani yeye ana uhakika nalo jambo hilo, ndio maana anataka liwafikie jamii na kujadiliwa, lakini hapo awali alianza kwa kulalamika kuwa mara nyingi kasoro au matatizo ya wasanii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.