UPOPO
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 3,445
- 5,405
Jamani mgao wa umeme bado upo?mbona Mvua
zinanyesha nchi nzima!Jamani mi mbona
sielewe kwani maeneo ya Mbezi beach leo
siku ya pili hatuna umeme kuanzia kati
ya saa kumi mpka saa tano.Kuuliza ni
Mgao Je mabwawa hayajaja maji!mm
hii kali wakati masika yameanza nchi
nzima?
zinanyesha nchi nzima!Jamani mi mbona
sielewe kwani maeneo ya Mbezi beach leo
siku ya pili hatuna umeme kuanzia kati
ya saa kumi mpka saa tano.Kuuliza ni
Mgao Je mabwawa hayajaja maji!mm
hii kali wakati masika yameanza nchi
nzima?