Jamani wengine hata tukipost kitu huku hakuna wachangiaji hata salamu jamani!
wewe ni jamii ya popo au?
Jamani wengine hata tukipost kitu huku hakuna wachangiaji hata salamu jamani!
Jamani wengine hata tukipost kitu huku hakuna wachangiaji hata salamu jamani!
Hata mimi ndio kumuona leo, sijawahi muona.Mbona sijawahi kuona post yako hata moja? Tokea nimjiung JF leo ndio nimekuona. By naomba niwe wa kwanza kukusalimu. Habari yako? Mzima wewe?
Jamani wengine hata tukipost kitu huku hakuna wachangiaji hata salamu jamani!
Jitahidi kujichanganya na watu kwa kukot post zao automatic utajikuta na ww uko km sisi.
Upopo sijamuona ila sasa hivi ndio kapata nafasi
Ila asante kwa salaam shem