UPOPO
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 3,442
- 5,386
Jamani nimekuwa naota Fangasi juu ya unyayo,vinaota vipele vidogo vinakuwa kama na maji ndani na baada
ya muda zinapasuka na kusambaa kwenye mguu.Nimejaribu kila aina ya dawa ya kupaka hata kuvaa viatu vya wazi
lakini bado vinakuja na kupona.Nimeenda kwa specialist mbalimbali wa magonjwa ya ngozi bado sipati nafuu.Please naomba ushauri wa kitaaluma
ya muda zinapasuka na kusambaa kwenye mguu.Nimejaribu kila aina ya dawa ya kupaka hata kuvaa viatu vya wazi
lakini bado vinakuja na kupona.Nimeenda kwa specialist mbalimbali wa magonjwa ya ngozi bado sipati nafuu.Please naomba ushauri wa kitaaluma