Search results

  1. U

    Kwa wale wa transfer

    Naomba kuuliza wakuu,!hivi kuna mtu yeyote ambaye ameriport chuoni walikomuhamishia na kufanyiwa registration??maana niko gizani na vyuo vingi tayar walianza kusoma ni takribani mwezi unaisha!!!ingali TCU hawajatoa tamko lolote juu ya swala hili.
  2. U

    Hivi sisi tuliopata transfer utaratibu unakuaje?

    tcu sina hamu nao mwaka huu!!!!!!!!!!!!!?!
  3. U

    Deadline za TCU

    1st batch (zilizotoka tar21)mwisho mwisho wa kulipia ilikuwa tar22. na 2nd batch(zilizotoka tar22)mwisho wa kulipia ilikuwa jana tar23.
  4. U

    Deadline za TCU

    Tcu ilitakiwa watoe angalau siku tatu kwa ajili ya kufanya payment for transfer approval lakini wametoa siku moja tu kwa kila batch. Poleni sana watu mlio mbali na huduma za kibenki na za internet kwa kukosa nafasi za masomo, kwa sababu tu ya muda wa kufanya malipo ya transfer(transfer fee)...
  5. U

    BSc in Textile Design and Technology

    Wadogo zangu si vilaza kama wewe unaeshabikia vyuo hata kwenye maswala ya kijinga,badala ya kuangalia mustakabali wa maisha yako.wadogo zangu ni wadogo kuliko wewe ila wanajitambua kuliko wewe na abadani hawawezi kufuata ushauri wa kilevi kama wako,textile design itamsaidia nin mdau hapo...
  6. U

    BSc in Textile Design and Technology

    You need to be legendry on this??? Thanks but idon't have a time to emulate with hoax - kins who manipulate and lapse people in the explicity like this!!.So let me be laconic.
  7. U

    BSc in Textile Design and Technology

    sawa mkuu,lakini kuna ulazima gani kwa mtu aliepata div1/2 kuchagua textile desgn Udsm,??wakati anaweza kuchagua kozi kama civil pale DIT,MUST,SAUT,geology pale UDOM n.k na akawa na uhakika wa ajira?
  8. U

    BSc in Textile Design and Technology

    Afanye maamuzi ya kubadilisha mapema,!! Na haya mdio madhara ya kuipenda udsm kwa kufuata mkumbo wakati kuna cozi nzuri tu ktk vyuo vingine!!!pole sana dogo.....
  9. U

    Taarifa kutoka TCU

    sawa bwana wacha nikubali tu yaishe.kwa sbabu hauwezi kuelewa kwa sasa, ila yakitoka tar 22,ndipo utaelewa.
  10. U

    Taarifa kutoka TCU

    wewe ndo kilaza,wakati ukiingia web ya nacte tu hilo ndo tangazo la 1.
  11. U

    Taarifa kutoka TCU

    hili tangazo lako kalibandike Getto litakuwa linakufariji!!
  12. U

    Jasho jingi kwapani

    ok,thanks for ur advice,but siamin kabisa katika USHIRIKINA!!
  13. U

    Jasho jingi kwapani

    limao, ndimu,hata ukoko wa ugali nimejaribu sana lakini hakuna nafuu yoyote,kwa habari ya kunyoa-huwa siruhusu hata unyele mmoja kuota..
  14. U

    Jasho jingi kwapani

    Natokwa na jasho jingi kwapani wakati wote,naomba ushauri nifanyeje halitoa harufu.
  15. U

    Jasho jingi kwapani

    Natokwa na jasho jingi kwapani wakati wote,naomba ushauri nifanyeje halitoa harufu.
  16. U

    Jasho jingi kwapani

    Natokwa na jasho jingi kwapani wakati wote,naomba ushauri nifanyeje halitoa harufu.
  17. U

    Tujuzane status za account zetu TCU

    Thamahani mwalimu!! Thatha mbona hata wewe kuna herufi nyengine hadhipo????
  18. U

    Ccm na upepo wa kisiasa!

    Siasa kwenye jukwaa la elimu?? ni = na mwanaume kuingia choo cha wanawake.:-*%-):-@:-x:-/:->:-|:-q:-"§?¤.
  19. U

    Deadline ya 'second round application' kwa TCU ni lini?

    Yaan,fanya fasta mwisho tar 15, ikifika tar 13 hata zile cozi zisizopendwa kabisaa,zitakuwa full. NOTE kuna watu zaidi ya 10000 wa kufanya 2nd round na available slots ni chache.na wanataka watu wengi watupwe nje thus why wameweka siku 5 tu.
  20. U

    Bachelor of Science in Horticulture, SUA

    Coz hii inahusu kilimo cha mbogamboga(hasa bustani) ni nzuri sana kwa kujiajiri(endapo utapata maeneo yenye miundombinu mizuri pembezoni mwa dar es salaam na pwani) lakini ukitaka kuajiriwa ajira zake ni finyu sana na hakuna maslahi sana.
Back
Top Bottom