Tujuzane status za account zetu TCU

hayo maneno uliyo sema YOU HAVE SUCCEFULLY SELECTED mimi kama mimi sijawahi kuyaona hapo kwenye kibox cha application bali nilikua nayakutaga kwenye my profile-VIEW MY SELECTION STATUS tena pale chini mwisho, sasa sijui kama wengine wanayakuta hayo maneno kwenye application icon labda mnijuze wakuu.

apo gudah....
yah ipo tena bolded kwa rangi nyekundu... kama huyakuti basi utakuta mengine yaki ku direct kwenye kozi zilizo wekwa ili umchague tena na kama ukifungua form yako utakuta juu kuna vibox vi
application selected prog. add IV sit add VI sit na profile
kwahyo ukiona iko kibox chakwanza application kinabonyezeka (kitakua kimekozwa na wino mweus) basi wewe unatakiwa uapply haraka sana ila kikiwa kimepauka akibonyezeka basi ur safe... au kibox cha selected program kikiwa kimepauka hakibonyezek basi ujue fika haujachagua kitu so ur not safe go for to application uapply tena
 
hayo maneno uliyo sema YOU HAVE SUCCEFULLY SELECTED mimi kama mimi sijawahi kuyaona hapo kwenye kibox cha application bali nilikua nayakutaga kwenye my profile-VIEW MY SELECTION STATUS tena pale chini mwisho, sasa sijui kama wengine wanayakuta hayo maneno kwenye application icon labda mnijuze wakuu.
angalia hapa jinsi ulivyosema kwamba HUJAWAHI KUYAONA...... ndo nimejibia apo kijana unajichanganya
 
juz nmefanya 2nd selection nikaambiwa selected kweny MEDICAL LAB muhmbil cha ajab jana naingia kwenye profile yangu nakta nmeambiwa nfanye 2nd selection ,kuangalia mambo ya kchagua yalyo bak kwa Science elimu kidogo ndoinamkopo japo na wenyew n kdogo bas nkachagua Education st.joseph campus ya Arusha nikakubaliwa, mm nmesoma CBG nakaufaulu kapo ivi BBB , ndoto zangu ilikuwa n kusomea mambo ya Afya eg-MEDICAL LAB, MD, Nursing etc, wanajamv naomba msaada wa mawazo kama kuna alternative ambayo naweza kfanya ili ndoto zang ztimie', mawazo yenu yna umuhm sana kwang

Kama uko Dar Nenda TCU nadhani hapo utapata mwongozo, humu itakuwa talalila tu!
 
Hapo mpaka majina yatoke ni mpaka deadline ya second round application ipite ambayo ni 15th. So the release of posts probably will be in 17 th or 18th
And admission to University will be on the first week of October or late week of Sept.
Depends with the University itself
 
Apply diploma ya hizo course unazotaka....kama vile Clinic officer, nursing, na hiyo lab technician...ila sina hakika kama muda wa kuomba bado haujaisha....
 
Jonatus when they say you have been selected. Wanamanisha umechaguliwa kati ya vyuo ulivyoomba.au wanaweza kukubadilishia program nyingine
 
Back
Top Bottom