Habari za asubuhi?
Baada ya serikali kuyaomba michango mashirika yake ya Umma, yeye ameamua kuwalazimisha watumishi kuchangia (kwa kukatwa) posho zao kuanzia 20,000 na kuendelea ili aweze kupeleka kwa wahanga wa mafuriko.
Hali hii imezua maswali mengi sana miongoni mwa watumishshi hasa...
Nahitaji mume mwenye uhitaji wa mwanamke. Awe mkristu mcha Mungu, awe mchapa kaza(kazi halali). Awe tayari kupima UKIMWI, awe tayari kuwa baba wa familiaa.
Pm ni kwa mwenye uhitaji tu!
Kaka mmoja mwenye asili ya Somalia, raia wa Kenya anayesoma nchini Malaysia, wiki iliyopita alijikuta akizua zogo kwenye ofisi ya uhamiaji. Tukio hiko lilitokea mida ya asubuhi baada ya kaka huyo ( anajiita Mzee) kumpatia passport mhudumu (dada) naye akaipokea passport kwa kutumia tissue paper...
Salaam wana JF.
Natumia data analysis software (SPSS) nimekwama kwenye kipengele cha ANOVA jinsi ya kuelezea.
Mwenye kujua vema tafadhali naomba anisaidie.
:embarrassed:
Salaam wana JF.
Natumia data analysis software (SPSS) nimekwama kwenye kipengele cha ANOVA jinsi ya kuelezea.
Mwenye kujua vema tafashali naomba anisaidie.
Mvua zilizonyesha kwa muda wa siku 4 mfululizo zimesababisha usumbufu mkubwa kwa wakazi wa eneo la Kedah nchuni Malaysia kama inavyoenekana ktk kielelezo nichoambatanisha.
Chanzo ni mimi mwenyewe nikwenda huko kwa matembezi.
Hivi inakuwaje Lowasa ambaye alilazimika kuachia ngazi ya uwaziri mkuu kwa makosa aliyoyafanya anendelea kugombea?
Je ni uhaba wa watu safi wenye uwezo wa kugombea, au ni ufinyu wa mawazo ya wanaohusika kuchunguza mambo hayo?
Je kuna kupiga vita ufisadi kweli ktk nchi hii? Na je watakuumbatiwa...
Nahitaji ushauri wenu wana JF, mimi nina rafiki ambaye tulifahamiana toka niko sekondari kama family friend. Tulipoteana kwa muda wa miaka 8 hivi kisha tukaaza kuwasiliana tena mwaka huu (family friendship) tukaaza kuwa na mawasilanao ya kimapenzi ingawa tuko mabara tofauti tukitafuta elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.