pamiho
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 271
- 35
Hivi inakuwaje Lowasa ambaye alilazimika kuachia ngazi ya uwaziri mkuu kwa makosa aliyoyafanya anendelea kugombea?
Je ni uhaba wa watu safi wenye uwezo wa kugombea, au ni ufinyu wa mawazo ya wanaohusika kuchunguza mambo hayo?
Je kuna kupiga vita ufisadi kweli ktk nchi hii? Na je watakuumbatiwa mpaka lini?
Je ni uhaba wa watu safi wenye uwezo wa kugombea, au ni ufinyu wa mawazo ya wanaohusika kuchunguza mambo hayo?
Je kuna kupiga vita ufisadi kweli ktk nchi hii? Na je watakuumbatiwa mpaka lini?