Ujenzi wa Uwanja wa Samia Arusha umeibua maswali mengi kuhusu ukubwa wa gharama ikilinganishwa na gharama zilizotumika ulipojengwa uwanja wa Benjamin Mkapa. Kwanza tupate bei ya dola kwa miaka ya nyuma ilikuwaje ili tujadili kwa Utulivu
Mabadiliko ya thamani ya shilling ya Tanzania kulinganisha...
Mara kadhaa tumekuwa tukishuhudia migogoro baina ya wafanyakazi na Watumishi wa Serikali na hata Sekta za Umma. Migogoro hiyo huambatana na , kufukuzwa kazi, kusimamishwa kazi, Kushushwa vyeo ama kutenguliwa kabisa nyadhifa za uongozi.
Nyuma ya mambo tajwa hapo juu kuna nguvu kubwa inayoitwa...
NADHARIA MBILI KUHUSU KINACHOSABABISHA WANA NGARA WENGI WASIONEKANE KWENYE TEUZI
Nimepitia andiko la Sam Ruhuza, Moja ya Wanasiasa wakongwe, nguli na wabobezi kwenye siasa za Upinzani Nchini Tanzania toka kuanza kwa Mfumo wa Vyama vingi mnamo Mwaka 1992. Sam Ruhuza ni moja ya Viongozi wakubwa...
Anaandika Sam Ruhuza kukosoa mfumo wa Teuzi kuwatenga Wananchi wa Wilaya ya Ngara.
Ndugu zangu Wanangara!
Nimetafakari sana hizi teuzi serikalini, kuna sehemu sizielewi, mnisaidie!
Ngara kuna watu ccm kwelikweli na vijana wengi wasomi tu, lakini kwenye teuzi, hauwaoni, lakini...
SABAYA VS MAANDAMANO
Miaka kadhaa iliyopita aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Comrade Lengai Ole Sabaya aliwahi kutoa Tahadhari kuhusu Ujanja Ujanja wa Chadema kuhusu maandamano. Sasa waambie Viongozi wa Chadema watangulize Familia zao mbele.
Wakati Serikali ikichukua hatua mbalimbali kupambana na vitendo vya ubadhirifu na matumizi mabaya ya fedha za Umma kumeendelea kuibuka malalamiko kutoka kona mbalimbali za Tanzania kuhusu uwepo wa matumizi mabaya ya fedha za Umma katika baadhi ya Halmashauri.
Hivi karibuni tulishuhudia hatua...
HISTORIA ISIYOFAHAMIKA NA WANA NGARA WENGI KUHUSU WABUNGE WALIOWAHI KULIONGOZA JIMBO LA NGARA TOKA UHURU MPAKA SASA.
Mara kadhaa kumekuwa na ubishani kuhusu Wabunge waliowahi kuongoza Jimbo la Ngara toka Uhuru mpaka sasa. Pia kumekuwa na upotoshaji kuwa Jimbo la Ngara halijawahi kuongozwa na...
Jioni ya Leo Tarehe 28/08/2023 mfumo wa ununuzi wa LUKU kupitia njia zote (Mitandao ya Simu, Bank na hata Mawakala) haufanyi kazi. Jambo la kusikitisha TANESCO hawajatoa taarifa yoyote kuhusu jambo hili.
Tuna safari ndefu kama Taifa.
Leo ni siku ya Uchaguzi Mkuu Nchini Marekani ambapo Mwanasiasa Nguli Joe Biden atakuwa akichuana vikali na rais wa sasa wa Marekani Ndg. Donald Trump. Katika Uchaguzi huu wa mwaka huu Joe Biden anaonekana kuwa na nguvu zaidi ya Donald Trumpn kwani tafiti zinaonyesha kuwa uwezekano wa kushinda...
Huyu Shekhe ni moja ya Majanga ya Taifa tulilo nalo. Muda wote shekhe huyu anaonekana anatamani kunywa damu ya watanzania. Tarehe 28 tunapaswa kuwanyoosha kwa Style ya ajabu kwa kupiga Kura za kishindo kwa John Pombe Magufuli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.