Samia hana uwezo wa kulifuta Kanisa maana hakulianzisha.
Acheni hadithi za kitoto kwani Rais na Kanisa kuna mahusiano mazuri mengine ni story za wenye njaa
Kuna watu mnakosa kumbukumbu ya mambo. Jaribu kutafuta taarifa kabla huja-post, moja ya wabunge waliongea sana kuhusu sakata la DPW ni Mpina na Msukuma bila kujali maoni yao.
Tukubali kuwa suala la Bandari halikuwa la kutetea bali ni kushauri na kuonyesha dira sahihi ya uendeshaji wa bandari...
Uongozi wa Premium Institute unahitaji kijana mwenye uwezo wa Shughuli ya stationery na awe na sifa zifuatazo:-
(i) Typing speed
(ii) Ability to apply and use all basic computer programs
(iii) Good customer care
(iv) result driven etc.
NB: You are not allowed to submit your academic and other...
incredible story.
1992 Rais alikuwa Mwnyi ambaye alikuwa na nguvu zote za kimamuzi na katika utaratibu wa kawaida serikali haikuwa na namna kwa vile ilikuwa ni muhimu sana huduma za kijamii ķama hospitali kufika kwa wananchi na nguvu ya serikali kufanya hivyo ilikuwa ndogo lakini ndio namna...
Umeandika vizuri lakini kuna Makosa muhimu (technical errors) kwenye bandiko lako. Habari yako inatakiwa asome mtu ambaye ni mjuvi wa mambo otherwise can swallow wrong information. Kijana wa leo atajua Russia na Korea Kusini ni marafiki , Korea Kusini ni Member wa NATO.
ALL IN ALL umeandika kitu...
Mwanamke hapa kazingua issues za ndani kaamua kuleta nje kama Mwanaume hiyo gut ya kutulia anatoa wapi?
Mwanamke kajileta mwenyewe kisa Mkwanja kumbe tunda anagawa kwa watu wengine Mbunge kagundua huo wizi kaamua kutimua mtu.
Guys remember kuona Rais wa Nchi, Waziri na hata Mbunge nae kuna vitu...
Naked truth, kun
Naked truth, kuna watu wanasema Simba ya sasa mbovu nawaza Simba iliyokuwa bora amabayo inge-challenge Raja au Wydad ni ipi ?
Simba bora ya akina Okwi, Bocco , Kagere, Chama mbona 5G was mandatory system. Kiukweli hata Simba ya Miquissone, chama n.k isingeweza mziki huu wa sasa...
Hili nalo la kuandika kweli kuna vitu ni vya kumaliza hapo hapo.
Vijana mnakwama sana punguzeni kulia kulia kila mtu ana mambo yake wakati mwingine. Be strong all the time.
Ni wazo zuri lakini pia hata wewe huna taarifa toshelezi kuhusu wale wote ambao hawakufanikiwa kuwa ndio wazuri "BIG NO"
Kada hizi zina idadi kubwa ya wahitimu na wengi pia wanahitajika kama utasema utumie mbinu ya mchujo kupitia interview basi rasilimali watu na pesa vitahitajika kwa kiasi...
Na tunavyoongea hapa Kampuni imeshauzwa(imeuzwa kwa nani story nyingine) hata baadhi ya wafanyakazi waliachishwa mapema kuanzia January to March.
Njia pekee kutana na meneja ongea nae after there baba wao BOT anahusika kusimamia haki za wateja but visit FNB manager don't roam around with Brunch...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.